JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mwalimu achomwa kisu na mwanafunzi hadi kufa nchini Ufaransa

Mwanafunzi wa shule ya sekondari amemchoma kisu mwalimu hadi kufa katika shule moja katika mji wa Saint-Jean-de-Luz nchini Ufaransa. Msemaji wa Serikali ya Ufaransa Olivier Véran amethibitisha shambulio hilo la Jumatano na kusema kuwa mshukiwa alikuwa na umri wa miaka…

Tetemeko la ardhi jipya latikisa Uturuki na Syria

KWA mara nyingine tena waokoaji wanatafuta watu waliokwama chini ya vifusi baada ya matetemeko mawili mapya ya ardhi kuikumba Uturuki na kuua takribani watu watatu. Matetemeko ya ukubwa wa 6.4 na 5.8 yalipiga kusini-mashariki karibu na mpaka na Syria, ambapo…

Ajifungua chini kifusi na kufariki,kichanga chakutwa hai Syria

Mtoto mchanga anayekadiriwa wa siku moja, ameokolewa kwenye kifusi baada ya mama yake kufukiwa kwenye moja ya jingo lililoporomoka pamoja na wanafamilia wengine saba kutokana na tetemo la ardhi lililotokea juzi Jumatatu Uturuki na Syria na kusababisha vifo vya watu…

Watu waliokufa kwa tetemeko Uturuki na Syria yafikia 9,000, mbwa wapelekwa

Vikosi vya uokozi nchini Uturuki na Syria wanaendelea kufanya kazi usiku na mchana na kuiondoa miili zaidi kutoka kwenye vifusi vya maelfu ya majengo yaliyoporomoka kutokana na tetemeko kubwa la ardhi. Idadi ya vifo imepanda leo na mpaka sasa inakaribia…

Tetemeko la ardhi Uturuki,vifo vyafikia 4,800

Idadi ya vifo inaongezeka hadi sasa zaidi ya 4,800 vimerekodiwa kutokana na tetemeko lilitokea siky ya Jumatatu. Nchini Uturuki, idadi ya watu ambao wamekufa kwa sababu ya matetemeko haya ya ardhi imeongezeka hadi 3,381, kulingana na mamlaka ya maafa nchini…

Papa Francis akutana na wahanga wa vita vya Kongo

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani,Papa Francis ameelezea masikitiko yake na kuwapa pole wahanga wa ghasia za kikatili katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Masikitiko hayo aliyatoa jana jioni wakati alipokutana na wahanga wa vita na machafuko ya kisiasa kutoka mashariki…