JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Waziri wa Mambo ya Nje Norway awasili nchini kwa ziara

Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway anayeshughulikia masuala ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa na nchi za Nordic,Anne Beathe Tvinnereim amewasili nchini leo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia tarehe 6 – 8 Septemba 2022 na kupokelewa…

Waziri Mkenda afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Venezuela

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda jana tarehe 5 Septemba 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Venezuela Mhe Yuri Pimentel anayeshughulikia maswala ya Afrika. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa kituo cha Kimataifa…

Makamba ashiriki mkutano wa dunia wa mabadiliko ya tabia nchi

Waziri wa Nishati,January Makamba amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye Mkutano wa Viongozi wa Dunia unaojadili Program ya Afrika ya kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Africa Adaptation Summit) unaofanyika Rotterdam, Uholanzi tarehe 5/9/2022. Mkutano…

Wizara ya Maji kutekeleza mradi wa bil.134/- Tarime na Rorya

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wizara ya Maji imeingia mkataba wenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 134 na Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Maji katika miji ya Rorya na Tarime, mkoani Mara….

Ruto ndiye Rais mteule Kenya,Mahakama yatupilia mbali pingamizi la Odinga

Mahakama ya Juu imeona kwamba walalamishi hawakutoa ushahidi wa kutosha kubatilisha matokeo kwa msingi kwamba kiwango cha kikatiba cha asilimia 50 + 1 cha ushindi wa moja kwa moja hakikufikiwa. Mahakama ya Juu imegundua kwamba walalamishi hawakuwasilisha kesi yenye uzito…