JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Ruto tayari ni Rais wa Awamu ya Tano Kenya

Dkt.William Ruto ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Kenya leo Jumanne Septemba 13,2022 katika uwanja wa Karasani jijini Nairobi. Ruto ameapishwa na Jaji Mkuu Martha Koome kuchukua nafasi ya Uhuru Kenyatta,ambaye amemaliza muda wake wa utawala wa miaka…

Prince Charles ndiye mrithi wa Malkia Elizabeth

Wakati tu Malkia amefariki dunia, kiti cha enzi kinapitishwa mara moja bila sherehe yoyote kwa mrithi, Charles, Mkuu wa zamani wa Wales. Lakini kuna hatua kadhaa za kiutendaji – na za kitamaduni ambazo lazima azipitie ili kutawazwa kuwa Mfalme. Moja…