Category: Kimataifa
Serikali yatoa wito kwa wadau wa afya kutatua changamoto
Na Mwandishi wetu – New York, Marekani Serikali kupitia Wizara ya Afya, imewataka Wadau wa Sekta ya Afya kuimarisha ushirikiano ili kutatua changamoto zinazokabili eneo la rasilimali watu wa sekta ya afya. Wito huo umetolewa na Waziri wa Afya Ummy…
Makamu wa Rais azungumza na Watanzania waishio Marekani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Jumuiya ya watanzania waishio Jijini New York nchini Marekani, Mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini New York. Akizungumza na Watanzania…
Kwa nini mazishi ya Malkia Elizabeth II ni mazishi ya karne
Mabilioni ya watu duniani wanatarajia kufuatilia maziko ya Malkia Elizaberth II le huku kukiwa na wageni 2000,viongozi 500 wa kigeni na wahudumu 4,000. Mazishi ya kitaifa ya Malkia Elizabeth II litakuwa tukio kubwa zaidi na la kipekee katika Karne ya…
Tanzania, Congo zasaini makubaliano kuboresha sekta ya ulinzi
Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrsai ya Kongo(DR CONGO) zimetiliana saini ya makubaliano katika ushirikiano wa kuboresha sekta ya ulinzi ikiwa ni sehemu ya kuendeleza mahusiano mema yaliyopo baina ya Mataifa hayo. Akizungumza jana baada ya zoezi la kusaini hati ya…