JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

BAADHI YA WAZANZIBAR WAPAMBANA KUUVUNJA MUUNGANO WA TANZANIA NA TANZANIA BARA

  Kundi la wanaharakati lenye wafuasi zaidi ya elfu arobaini kutoka visiwani Zanzibar wamefungua kesi katika mahamaka ya Afrika Mashariki wakitaka Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar uvunjwe kwa madai kwamba hauna uhalali. Rashid Salum Adiy ambae ni mmoja wa…

Cyril Ramaphosa Achaguliwa Kuwa Rais Mpya wa Afrika Kusini, Achukua Nafasi ya Jacob Zuma

Mwenyekiti wa chama tawala cha ANC Cyril Ramaphosa amepishwa kuwa rais wa Afrika Kusini baada ya rais wa taifa hilo Jacob Zuma kujiuzulu. Rais huyo mpya alikuwa mtu wa pekee aliyeteuliwa siku ya Alhamisi huku uteuzi huo ukiungwa mkono kwa…

MWANAFUNZI AWAMIMINIA RISASI WANAFUNZI WENZAKE NA KUWAUA 17, MAREKANI

  Watu 17 wameuawa katika mauaji ya watu wengi yaliyofanywa katika shule moja huko Florida Marekani. Kwa mujibu wa polisi, mtuhumiwa huyo ametajwa kwa jina la Nikolaus Cruz mwenye umri wa miaka 19 na kwamba alikuwa mwanafunzi katika shule hiyo…

TANZIA: Kiongozi Mkuu wa Upinzani wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai Afariki

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Zimbabwe Morgan Tsvangirai amefariki dunia nchini Afrika kusini. Kwa mujibu wa kiongozi Mwandamizi wa chama cha MDC, Tsvangirai mwenye umri wa 65, na aliyewahi kushika nafasi ya Uwaziri mkuu nchini Zimbabwe ameripotiwa kuwa alikuwa akisumbuliwa…

RAIS WA AFRIKA KUSINI, JACOB ZUMA ANG’ATUKA MADARAKANI

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amejiuzulu baada ya shinikizo nyingi kutoka kwa chama chake. Kapitia hotuba yake iliyopeperushwa kwa njia ya televisheni alisema anajiuzulu mara moja lakini akaongeza kuwa hakubaliani na uamuzi wa chama cha ANC. Chama cha ANC…

Korea Kaskazini Yaonyesha Nguvu za Kijeshi

Siku moja kabla ya kufunguliwa kwa michezo ya Olympiki ya Majira ya Baridi nchini Korea Kusini, Korea Kaskazini imefanya gwaride kubwa la kijeshi kuadhimisha miaka 70 tangu kuanzishwa kwa jeshi la nchi hiyo. Afisa wa Korea Kusini ambaye hakutaka kutajwa…