Category: Kimataifa
Wanajeshi 320 wa Sudan wakimbilia Chad wakitoroka mapigano
Takriban wanajeshi 320 wa Sudan walitoroka mapigano yanayoendelea nchini Mwao hadi nchi jirani ya Chad, waziri wa ulinzi wa Chad alisema Jumatano. Waziri wa ulinzi Jenerali Daoud Yaya Brahim aliuambia mkutano wa waandishi wa habari kwamba “Waliwasili kwenye ardhi yetu,…
Wanne wafariki Kenya ‘wakiwa wamefunga kukutana na Yesu’
Watu wanne walipatikana Alhamisi wakiwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini katika kaunti ya pwani ya Kilifi nchini Kenya, baada ya kuokolewa wakisubiri ‘mwisho wa dunia unaokaribia’. Polisi walisema kundi hilo lilipatikana katika msitu walimokuwa wakiishi kwa siku…
Watu 72 wafa maji Ufilipino kipindi cha Pasaka
Watu 72 wamekufa kwa kuzama kwenye maji tangu mwanzo mwa mwezi huu, huku rekodi ikionesha vifo vingi zaidi vimetokea katika kipindi hiki cha mapumnziko ya siku za Sikukuu ya Pasaka. Kwa mujibu wa msemaji wa Jeshi la Polisi la Ufilipino,…
Marekani yaitaka China ijizuie wakati wa mazoezi yake ya kijeshi Taiwan
China imefanya mazoezi ya kijeshi ya majini kwa siku ya pili kuzunguka Taiwan, huku hali ya wasiwasi ikiendelea kuongezeka baada ya ziara ya Rais Tsai Ing-wen nchini Marekani wiki iliyopita. Mazoezi hayo ambayo Beijing imeyaita “onyo kali” kwa Taipei –…
Waliokufa na vimbunga Marekani wafikia 26
Takriban watu 26 wamekufa baada ya mfululizo wa vimbunga kuteketeza miji na majiji ya Kusini na Kati mwa Marekani. Nyumba ziliharibiwa na maelfu kuachwa bila umeme baada ya dhoruba kubwa kusababisha uharibifu katika majimbo kadhaa. Kumekuwa na zaidi ya vimbunga…
Makamu wa Rais Sudan Kusini akataa uteuzi
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar, ambaye pia ni kiongozi wa chama cha upinzani cha SPLM-IO, amekataa uteuzi wa Jenerali Chol Thon Balok kuwa waziri mpya wa ulinzi. Jenerali huyo anatoka chama cha Rais Salva Kiir na anachukua…