JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Kalinaki, Balile wachaguliwa kuongoza wahariri Afrika Mashariki

Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki imemchagua Daniel Kalinaki wa Jukwaa la Wahariri Uganda kuwa Rais wa Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki kuanzia Mei 12, 2023, ambapo ataongoza kwa mwaka mmoja. Deodatus Balile, ambaye ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania…

Aua watu 8 kwa risasi Marekani, naye auawa

“Tulianza kukimbia, watoto walikuwa wakikanyagwa”. Anaeleza Maxwell Gum (16),mfanyakazi wa stendi karibu na eneo ambalo mauaji ya risasi ya watu nane katika jiji la Texas Marekani . Yeye na wengine walijihifadhi kwenye chumba cha kuhifadhia vitu. Mauaji haya yametekelezwa na…

Miili 100 waliokufa kwa imani ya kukutana na Yesu kufanyiwa upasuaji

Maafisa nchini Kenya wanasema shughuli ya upasuaji wa zaidi ya miili 100 inayohusishwa na mchungaji mmoja ambaye anadaiwa kuwashauri waumini wake wafunge kula hadi wafe ili wawe wa kwanza kwenda mbinguni, umeanza. Mpasuaji mkuu wa serikali ya Kenya,Johansen Oduor, ndiye…

Waziri Uganda auwa kwa kupigwa risasi na mlinzi wake

Mwanajeshi wa Jeshi la Uganda amempiga risasi na kumuua waziri katika Serikali ya Uganda ambaye alikuwa akimlinda. Kanali mstaafu Charles Okello Engola, ambaye alikuwa Naibu Waziri wa Kazi, alipigwa risasi nyumbani kwake katika mji mkuu, Kampala, Jumanne asubuhi. Haijajulikana wazi…

Waliojiua wakitaka kukutana na Yesu wafukuliwa

Polisi nchini Kenya walisema Ijumaa kwamba wamefukua miili ya watu watatu, inayodhaniwa kuwa ya wafuasi wa dhehebu la kidini wanaoaminika walijiua kwa njaa, mashariki mwa nchi hiyo wakati wakati polisi imepanua uchunguzi wake. “Mchakato wa kufukua miili bado unaendelea na…

Tanzania kushirikiana na nchi za EAC kulinda rasilimali za uvuvi ziwa Victoria

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kushirikiana na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhakikisha rasilimali za uvuvi katika Ziwa Victoria zinalindwa ili zinufaishe jamii zinazozunguka ziwa hilo na mataifa husika kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…