JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Madaktari Nigeria waanza mgomo usio na kikomo

Madatari katika hospitali za umma nchini Nigeria wameanza “mgomo na usio na kikomo” kutokana na kile walichokieleza kuwa ni kushindwa kwa serikali kushughulikia malalamishi yao. Madaktari wanaogoma ni asilimia kubwa zaidi ya madaktari katika hospitali za Nigeria. Mgomo wa namna…

Mchungaji aliyeongoza mazishi ya binti aliyeuawa, ashtakiwa kwa mauji yake

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Mchungaji mstaafu wa kanisa la Marekani ambaye aliongoza mazishi ya msichana wa miaka minane aliyetekwa nyara takriban nusu karne iliyopita nyara ameshtakiwa kwa mauaji yake. Gretchen Harrington alitoweka katika kitongoji cha Philadelphia cha mji wa…

Jeshi la RSF lateka Darfur Kusini

Jeshi la wapiganaji la Rapid Support Forces (RSF) limefanikiwa kumiliki Darfur Kusini huku kukiwa na taarifa zaidi za ukiukwaji wa haki za binadamu. Mapigano kati ya RSF na Jeshi la Sudan yamefanya familia kadhaa kuvunjika na kukosa makazi. Zipo taarifa…

Marekani yapeleka msaada wa kijeshi Ukrane

Wanachama wa Nato wanafikiria kuisaidia Ukraine silaha zaidi na risasi kwa ajili ya kuendelea kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi.  Nchi ya Marekani imekuwa mstari wa mbele kutoa msaada mkubwa wa kijeshi kwa Ukraine, ambapo imetangaza tena kuwapa msaada mpya…

Azimio wamkalia kooni Ruto, watangaza maandamano tena wiki ijayo

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Nairobi Katibu mkuu wa chama cha upinzani cha ODM nchini Kenya ambaye pia ni Seneta wa jiji la Nairobi Edwin Sifuna ameitisha maandamano ya siku tatu kuanzia wiki ijayo, akiapa kuzidisha maandamano dhidi ya serikali…

Azimio wamkalia kooni Ruto, watangaza maandamano tena wiki ijayo

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Nairobi Katibu mkuu wa chama cha upinzani cha ODM nchini Kenya ambaye pia ni Seneta wa jiji la Nairobi Edwin Sifuna ameitisha maandamano ya siku tatu kuanzia wiki ijayo, akiapa kuzidisha maandamano dhidi ya serikali…