JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mawaziri wauawa katika ajali ya helikopta Ukraine

Watu 18 wameuawa akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ukraine katika ajali ya helikopta iliyotokea nje ya Mji Mkuu wa Kyiv leo. Taarifa ya Mkuu wa Polisi Ukraine, Ihor Klymenko imesema kati ya watu hao waliopoteza maisha wawili ni…

China:Tutaimarisha ushirikiano na Urusi 2023

Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi amesisitiza msimamo wa nchi yake ya kutofungamana na upande katika vita vya Ukraine na kwamba taifa hilo litaimarisha uhusiano na Urusi katika mwaka ujao 2023. Wang amesema China itazingatia kuzingatia ya…

Mtoto atolewa vyuma 52 tumboni,wazazi watahadharishwa

Mama wa mtoto mwenye umri wa miaka mitano ambaye alinusurika kifo baada ya kumeza vyuma 52 kutoka kwenye kifaa cha kuchezea amewatahadharisha wazazi kutambua hatari iliyomkumba mtoto. Daktari alilazimika kupasua tumbo la mtoto Jude sehemu tano ili kuondoa vyuma vilivyokua…

Balozi Sirro awasilisha hati za utambulisho

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe,Simon Sirro amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Emmerson Mnangagwa, Ikulu Zimbabwe. Julai 20, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimteua aliyekuwa Mkuu wa…