Category: Kimataifa
Tanzania yainadi minada ya madini kwa wafanyabiashara wakubwa Thailand
Waiomba Serikali iharakishe kurejeshwa kwake, Waonesha nia kushirikiana na Sekta Binafsi Naibu Katibu Mkuu Mbibo awakaribisha kushiriki Jukwaa la Madini Litakalofanyika Oktoba,2023 TGC Yawataka Vijana Nchini kuigeukia Tasnia ya Uongezaji Thamani Madini Na Wizara ya Madini- Bangkok Naibu Katibu Mkuu…
Tanzania kuiunga mkonpo Saud Arabia EXPO 2023
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuiunga mkono Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara mwaka 2030 (EXPO 2030). Ahadi hiyo imeelezwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…
Jeshi lapindua madaraka Gabon
Maafisa wa jeshi wameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini Gabon wakisema wamechukua mamlaka. Walisema wanafuta matokeo ya uchaguzi wa Jumamosi, ambapo Rais Ali Bongo alitangazwa mshindi. Tume ya uchaguzi ilisema Bongo alishinda chini ya thuluthi mbili tu ya kura katika…
Tanzania yapongeza azimio la kuanzisha kwa mfuko wa GEF
Tanzania imepokea na kupongeza azimio la kuanzishwa kwa Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF) na kusisitiza kuwezesha utekelezaji wa Mkakati wa Dunia wa Kuhifadhi Bioanuai kupitia Mikakati ya Kitaifa ya Kuhifadhi Bionuai. Hayo yamebainishwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Saba…
JK ateta na Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC- TROIKA) Mjini Luanda-Angola
Na Mwandishi Wetu, Angola Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, (SADC Panel of Elders) akiwa pamoja na Viongozi wanaounda Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na…
Uchafuzi wa mazingira una mchango mkubwa katika kupungua kwa uzazi duniani
Shirika la Afya Duniani (WHO) hivi karibuni limeripoti – mwanandoa mmoja kati ya sita duniani ana tatizo la ugumba. Kwa miaka mingi watu wamekuwa wakielekeza lawama zao kwa wanawake linapokuja swala kukosa mtoto katika ndoa – hasa katika nchi za…