Category: Kimataifa
Mtoto wa Museveni atangaza kumngo’a baba yake madarakani
Na Wilson Malima, JAMHURI MEDIA Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Mhoozi Kainerugaba ametangaza nia ya kutaka kumrithi Baba yake kiti cha Urais wa Uganda ambapo amesema atagombea Urais wa nchi hiyo ifikapo mwaka 2026. Mhoozi ambaye ni Jenerali…
Makamu wa Rais wa Marekani kutembelea Tanzania
…………………………………………………………………………………………. Makamu wa Rais wa Marekani Mheshimiwa Kamala Harris anatarajiwa kutembelea Tanzania kuanzia Machi 29 hadi 31, 2023, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwenye ziara hiyo ya kwanza nchini Tanzania na…
Spika awasilisha hoja ya dharura kuchagiza kuundwa kwa mfuko wa maafa duniani
Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kundi la Afrika katika Umoja wa Mabunge Duniani (Africa Geopolitical Group in the IPU), Dkt. Tulia Ackson, jana Machi 12, 2023 amehutubia Mkutano wa 146 wa Umoja wa Mabunge Duniani…
Tanzania,Namibia zasaini hati za makubaliano ya ushirikiano
Windhoek, Namibia, 10 Machi 2023 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri Namibia zimesaini Hati za Makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya usalama, mishati na mashauriano ya kisiasa na kidiplomasia. Hati za Makubaliano hayo zimesainiwa katika Mkutano wa Tatu wa…
Askari wa akiba wa Urusi hawana silaha wapigana kwa koleo
Askari wa akiba wa Urusi huenda wanatumia “makoleo” kwa mapigano ya “mkono kwa mkono” nchini Ukraine kutokana na uhaba wa risasi, Wizara ya Ulinzi ya Uingereza inasema. Mwishoni mwa Februari, askari wa akiba walielezea kuwa waliamriwa kushambulia Ukraine “wakiwa na…