JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Waliojiua wakitaka kukutana na Yesu wafukuliwa

Polisi nchini Kenya walisema Ijumaa kwamba wamefukua miili ya watu watatu, inayodhaniwa kuwa ya wafuasi wa dhehebu la kidini wanaoaminika walijiua kwa njaa, mashariki mwa nchi hiyo wakati wakati polisi imepanua uchunguzi wake. “Mchakato wa kufukua miili bado unaendelea na…

Tanzania kushirikiana na nchi za EAC kulinda rasilimali za uvuvi ziwa Victoria

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kushirikiana na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhakikisha rasilimali za uvuvi katika Ziwa Victoria zinalindwa ili zinufaishe jamii zinazozunguka ziwa hilo na mataifa husika kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…

Wanajeshi 320 wa Sudan wakimbilia Chad wakitoroka mapigano

Takriban wanajeshi 320 wa Sudan walitoroka mapigano yanayoendelea nchini Mwao hadi nchi jirani ya Chad, waziri wa ulinzi wa Chad alisema Jumatano. Waziri wa ulinzi Jenerali Daoud Yaya Brahim aliuambia mkutano wa waandishi wa habari kwamba “Waliwasili kwenye ardhi yetu,…

Wanne wafariki Kenya ‘wakiwa wamefunga kukutana na Yesu’

Watu wanne walipatikana Alhamisi wakiwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini katika kaunti ya pwani ya Kilifi nchini Kenya, baada ya kuokolewa wakisubiri ‘mwisho wa dunia unaokaribia’. Polisi walisema kundi hilo lilipatikana katika msitu walimokuwa wakiishi kwa siku…

Watu 72 wafa maji Ufilipino kipindi cha Pasaka

Watu 72 wamekufa kwa kuzama kwenye maji tangu mwanzo mwa mwezi huu, huku rekodi ikionesha vifo vingi zaidi vimetokea katika kipindi hiki cha mapumnziko ya siku za Sikukuu ya Pasaka. Kwa mujibu wa msemaji wa Jeshi la Polisi la Ufilipino,…

Marekani yaitaka China ijizuie wakati wa mazoezi yake ya kijeshi Taiwan

China imefanya mazoezi ya kijeshi ya majini kwa siku ya pili kuzunguka Taiwan, huku hali ya wasiwasi ikiendelea kuongezeka baada ya ziara ya Rais Tsai Ing-wen nchini Marekani wiki iliyopita. Mazoezi hayo ambayo Beijing imeyaita “onyo kali” kwa Taipei –…