JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Rais Brazil aliomba bunge kutangaza janga la mafuriko, watu 85 wapoteza maisha

Rais wa Brazil Inacio Lula da Silva ameliomba Bunge la nchi hiyo kutangaza uwepo wa janga kwenye jimbo la kusini la Rio Grande do Sul baada ya watu 85 kupoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yanalolikumba eneo hilo. Hatua hiyo…

Urusi kufanya mazoezi ya nyuklia kufuatia ‘vitisho’ vya nchi za Magharibi

Urusi imeanza maandalizi ya mazoezi ya makombora karibu na Ukraine yakiiga matumizi ya silaha za kimkakati za nyuklia ili kukabiliana na “vitisho” vya maafisa wa nchi za Magharibi. Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov alisema kauli za hivi majuzi za Rais…

Zaidi ya watu 140 wafariki kwa radi, dhoruba Pakistan

Zaidi ya watu 140 wamefariki dunia nchini Pakistan baada ya kupigwa na radi na matukio mengine yanayohusishwa na dhoruba katika mwezi huu wa Aprili, huku taifa hilo likishuhudia mvua kubwa kabisa. Pakistan imekumbwa na mafuriko makubwa, maporomoko ya ardhi na…

Tanzania na Urusi kushirikiana kudhibiti uhalifu wa kimtandao

Serikali imedhamiria kushirikiana na nchi ya Urusi katika kudhibiti uhalifu nchini ikiwemo uhalifu wa mtandao ambao umeanza kushamiri katika maeneo mbalimbali nchini huku ikiweka wazi dhamira ya kujengewa uwezo kwa askari wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na…

Mkutano wa kimataifa dhidi ya taka za plastiki kuanza tena

Wapatanishi kutoka nchi 175 wanakutana kuanzia Jumanne hii nchini Canada, ili kuhitimisha maandalizi ya mkataba wa kimataifa wa kukomesha uchafuzi wa mazingira utokanao na plastiki. Hatua hiyo inatarajiwa miezi mitano baada ya duru ya mwisho ya mazungumzo yaliyofanyika nchini Kenya….