Category: Kimataifa
Uingereza kuibeba bendera ya Tanzania kutangaza fursa za uwekezaji, biashara zilizopo sekta ya madini
Wizara ya Madini na Serikali ya Uingereza kupitia Ubalozi wake nchini zimekutana leo Agosti 1, 2023 katika ofisi za Wizara Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma ili kujadiliana kuhusu fursa mbalimbali za uwekezaji katika Sekta ya Madini nchini na kuzitangaza…
Moto wa Mediterania waua zaidi ya watu 40
Zaidi ya watu 40 wamefariki dunia nchini Algeria, Italia na Ugiriki wakati moto wa nyika ukitishia vijiji na maeneo ya mapumziko huku maelfu ya watu wamehamishwa. Ugiriki inajiandaa kwa safari zaidi za uokoaji kutoka Rhodes, wakati moto pia ukiendelea kuwaka…
Madaktari Nigeria waanza mgomo usio na kikomo
Madatari katika hospitali za umma nchini Nigeria wameanza “mgomo na usio na kikomo” kutokana na kile walichokieleza kuwa ni kushindwa kwa serikali kushughulikia malalamishi yao. Madaktari wanaogoma ni asilimia kubwa zaidi ya madaktari katika hospitali za Nigeria. Mgomo wa namna…
Mchungaji aliyeongoza mazishi ya binti aliyeuawa, ashtakiwa kwa mauji yake
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Mchungaji mstaafu wa kanisa la Marekani ambaye aliongoza mazishi ya msichana wa miaka minane aliyetekwa nyara takriban nusu karne iliyopita nyara ameshtakiwa kwa mauaji yake. Gretchen Harrington alitoweka katika kitongoji cha Philadelphia cha mji wa…
Jeshi la RSF lateka Darfur Kusini
Jeshi la wapiganaji la Rapid Support Forces (RSF) limefanikiwa kumiliki Darfur Kusini huku kukiwa na taarifa zaidi za ukiukwaji wa haki za binadamu. Mapigano kati ya RSF na Jeshi la Sudan yamefanya familia kadhaa kuvunjika na kukosa makazi. Zipo taarifa…
Marekani yapeleka msaada wa kijeshi Ukrane
Wanachama wa Nato wanafikiria kuisaidia Ukraine silaha zaidi na risasi kwa ajili ya kuendelea kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi. Nchi ya Marekani imekuwa mstari wa mbele kutoa msaada mkubwa wa kijeshi kwa Ukraine, ambapo imetangaza tena kuwapa msaada mpya…