Category: Kimataifa
Waziri Mkuu wa Chad ajiuzulu baada ya mshindi wa kura kuthibitishwa
Waziri Mkuu wa Chad Succes Masra ametangaza kuwasilisha barua yake ya kujiuzulu Jumatano, ikiwa wiki kadhaa zimepita baada ya kushindwa na Mkuu wa Serikali ya Kijeshi Jenerali Mahamat Idriss Deby katika uchaguzi wa rais uliofanyika Mei 6, mwaka huu. Masra…
Watu 85 wauwawa kufuatia mapigano makali Sudan
Shirika la Madaktari wasio na mipaka la MSF limesema takriban watu 85 wamefariki katika hospitali moja kwenye mji wa El-Fasher huko Darfur tangu mapigano yalipozuka kati ya pande zinazozozana nchini Sudan Mei 10. Mkuu wa mpango wa dharura wa shirika…
Uingereza, Marekani hawaitambui taifa la Palestina
Takriban nchi 140 zimelitambua taifa la Palestina, kulingana na barua ya hivi majuzi kwa Umoja wa Mataifa. Nchi hizo zinajumuisha wanachama wa Kundi la nchi 22 za Kiarabu katika Umoja wa Mataifa, Jumuiya ya Nchi 57 za Ushirikiano wa Kiislamu…
Kiongozi mkuu wa Iran aongoza ibada ya mazishi ya Raisi
Kiongozi mkuu wa Iran ameongoza mazishi ya marehemu rais wa nchi hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje na wengine waliofariki katika ajali ya helikopta siku ya Jumapili. Ayatullah Ali Khamenei aliongoza sala ya mazishi katika Chuo Kikuu cha Tehran. Rais…
Zuma hastahili kugombea katika uchaguzi mkuu Afrika Kusini
Mahakama ya kikatiba ya Afrika Kusini imetoa uamuzi kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma hastahili kugombea katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu. Inaelezwa kwamba uamuzi huo uliofuatiliwa kwa ukaribu na watu wengi nchini humo…
Yatakayotokea ndani ya siku tano za maombolezo nchini Iran
Iran inapanga kufanya misafara kadhaa ya maombi kwa ajili ya Rais Ebrahim Raisi na maafisa wengine waliofariki katika ajali ya helikopta. Msafara wa kwanza umeanza leo saa 09:30 kwa saa za huko (06:00 GMT) katika jiji la kaskazini-magharibi la Tabriz….