Category: Kimataifa
JK ateta na Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC- TROIKA) Mjini Luanda-Angola
Na Mwandishi Wetu, Angola Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, (SADC Panel of Elders) akiwa pamoja na Viongozi wanaounda Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na…
Uchafuzi wa mazingira una mchango mkubwa katika kupungua kwa uzazi duniani
Shirika la Afya Duniani (WHO) hivi karibuni limeripoti – mwanandoa mmoja kati ya sita duniani ana tatizo la ugumba. Kwa miaka mingi watu wamekuwa wakielekeza lawama zao kwa wanawake linapokuja swala kukosa mtoto katika ndoa – hasa katika nchi za…
Benki ya Dunia yasitisha mikopo Uganda
Benki ya dunia imetangaza inasitisha mikopo mipya kwa Uganda kutokana na nchi hiyo kupitisha sheria kali dhidi ya watu wa jinsia moja walio katika mahusiano ya kimapenzi. Benki hiyo ilisema sheria hiyo inayoharamisha LGBTQ iliyopitishwa miezi michache iliyopita inakwenda kinyume…
Mkurugenzi Safaricom ajiuzulu
Aliyewahi kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mwanzilishi na baadaye Mkurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya Mawasiliano ya Safaricom PLC, Michael Joseph amejiuzulu wadhifa wake, taarifa ya Safaricom imesema uamuzi huo umefanyika Agosti 1. Joseph, ameshiriki kuongoza kampuni hiyo katika nafasi mbalimbali…
Mafuriko yaua 33 Beijing
Watu waliofariki kutokana na mafuriko katika mji mkuu wa China, Beijing imeongezeka na kufikia 33 wakiwemo waokoaji watano huku watu wengine 18 wakiwa hawajulikani walipo. Mafuriko hayo yalianza Agosti 5, 2023 Magharibi mwa Beijing na kusababisha kuporomoka ya nyumba 59,000…
Iran yatoa likizo ya siku mbili kutokana na joto kali
Iran imetangaza likizo ya siku mbili kwa wafanyakazi wa Serikali na benki kutokana na hali ya joto inayoongezeka kote nchini humo. Uamuzi huo umewadia wakati nchi duniani kote, ikiwa ni pamoja na Iran, zinakabiliwa na ongezeko la joto la kihistoria…