JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mji maarufu kwa vito Thailand waiomba Tanzania kuufungulia milango

Wafanyabiashara wa Tanzania wakaribishwa kushiriki Maonesho Oktoba Chanthaburi-Thailand Serikali katika mji mkongwe na maarufu kwenye shughuli na Biashara ya Madini ya Vito wa Chanthaburi nchini Thailand umeiomba Tanzania kuufungulia milango na kuimarisha ushirikiano kwenye uendelezaji wa Sekta Ndogo ya Madini…

Rais Samia ateuliwa mjumbe Bodi ya Ushauri ya Kituo cha GCA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Dunia cha Uhimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi (Advisory Board of the Global Centre on Adaptation – GCA). Taarifa ya uteuzi…

Tanzania yainadi minada ya madini kwa wafanyabiashara wakubwa Thailand

Waiomba Serikali iharakishe kurejeshwa kwake, Waonesha nia kushirikiana na Sekta Binafsi Naibu Katibu Mkuu Mbibo awakaribisha kushiriki Jukwaa la Madini Litakalofanyika Oktoba,2023 TGC Yawataka Vijana Nchini kuigeukia Tasnia ya Uongezaji Thamani Madini Na Wizara ya Madini- Bangkok Naibu Katibu Mkuu…

Tanzania kuiunga mkonpo Saud Arabia EXPO 2023

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuiunga mkono Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara mwaka 2030 (EXPO 2030). Ahadi hiyo imeelezwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

Jeshi lapindua madaraka Gabon

Maafisa wa jeshi wameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini Gabon wakisema wamechukua mamlaka. Walisema wanafuta matokeo ya uchaguzi wa Jumamosi, ambapo Rais Ali Bongo alitangazwa mshindi. Tume ya uchaguzi ilisema Bongo alishinda chini ya thuluthi mbili tu ya kura katika…

Tanzania yapongeza azimio la kuanzisha kwa mfuko wa GEF

Tanzania imepokea na kupongeza azimio la kuanzishwa kwa Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF) na kusisitiza kuwezesha utekelezaji wa Mkakati wa Dunia wa Kuhifadhi Bioanuai kupitia Mikakati ya Kitaifa ya Kuhifadhi Bionuai. Hayo yamebainishwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Saba…