JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kukabiliana na changamoto za ongezeko la idadi ya watu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Algiers Wakuu wa nchi za kiafrika za kiafrika wametakiwa kuweka msukumo wa pamoja ili kukabiliana na changamoto zinazotokana na ongezeko kubwa la idadi ya watu Barani Afrika. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu wa Algeria Aymen Ben…

Rais Dk Samia kufanya ziara nchini India

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kufanya ziara ya Kitaifa nchini India Oktoba 8 hadi 1, 2023 akiambatana na wafanyabiashara kuangalia fursa za kibiashara na uwekezaji kiuchumi. Akitoa taarifa hiyo…

Tanzania yashiriki mkutano wa Shirika la Makazi Algeria

Wajumbe wafanya mazungumzo na Balozi Tanzania nchini humo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Algeria Ujumbe wa Tanzania unaohudhuria Mkutano Mkuu wa dharura wa Shirika la Makazi Afrika(Shelter Afrique) unaofanyika Jijini Algiers umekutana na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Algeria ili…

Madini Vision 2030 kutangazwa Indonesia

Ushirikiano Tanzania, Indonesia waimarishwa Madini ya Kimkakati kupewa kipaumbele Balozi wa Indonesia nchini Tanzania Mhe. Tri Yogo Jatmiko amesisitiza kushirikiana na Tanzania katika kutangaza Mwelekeo Mpya wa Wizara wa VISION 2030: Madini ni Maisha na Utajiri ili kutangaza fursa mbalimbali…

DKT. Mwinyi azindua ubalozi wa Tanzania Cuba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.  Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezindua Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Havana nchini Cuba katika hafla maalum iliyofanyika jijini Havana tarehe 14 Septemba 2023. Akizungumza katika uzinduzi wa Ubalozi huo…