Category: Kimataifa
Ruto: Sina hatia na vifo vya waandamanaji
Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa “hana hatia” na vifo vya waandamanaji vilivyotokea mapema wiki iliyopita katika maandamano ya kuipinga serikali yake. Ruto ametoa kauli hiyo wakati mamia ya watu wakikusanyika jana katika mji mkuu wa Nairobi kuwakumbuka watu…
Barabara zinazoelekea Ikulu ya Rais Kenya zawekwa vizuizi vya kiusalama
Kundi la vitengo kadhaa vya usalama vimetumwa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi ili kusubiri maandamano ya vijana yanayopangwa kufanyika siku ya Alhamisi. Waandamanaji hao wameapa kuandaa maandamano ya kuelekea ikulu ya rais ikiwa ndio kilele cha maandamano ya…
Marekani yamfunga miaka 45 jela rais wa zamani wa Honduras
Mahakama mjini New York imemhukumu rais wa zamani wa Honduras kifungo cha miaka 45 jela kwa makosa ya ulanguzi wa dawa za kulevya. Juan Orlando Hernandez alihukumiwa Jumatano kwa kuyasaidia makundi ya wauzaji wa dawa za kulevya kuingiza nchini Marekani…
Ruto asikiliza kilio cha Wakenya, asisitiza kubana matumizi
Kenya inashusha pumzi baada ya Mswada wa Fedha wa 2024 uliozua utata kutupiliwa mbali. Rais William Ruto hatimae ametangaza kusikiliza kilio cha wakenya walioupinga mswada huo kwa nguvu zote. Akilihutubia taifa kwa mara ya pili tangu maandamano kulitikisa taifa kwa…
Waandamanaji Kenya waapa kurudi tena barabarani
Wandamanaji nchini Kenya wameapa kuendelea na maandamano yao kupinga nyongeza mpya za ushuru, siku moja tu baada ya polisi kufyatua risasi na kuwaua takriban watu watano. Watu wengine zaidi ya 100 walijeruhiwa pia walipovamia majengo ya bunge. Katibu Mkuu wa…
Uhuru Kenyatta awaomba viongozi kuwasikiliza wananchi
Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta, ametoa wito wa amani kufuatia maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 ambayo siku ya Jumanne yalikumbwa na matukio ya vurugu baada ya waandamanaji kuvamia Bunge la Taifa. Katika taarifa kwa vyombo…