JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Urusi kufanya mazoezi ya nyuklia kufuatia ‘vitisho’ vya nchi za Magharibi

Urusi imeanza maandalizi ya mazoezi ya makombora karibu na Ukraine yakiiga matumizi ya silaha za kimkakati za nyuklia ili kukabiliana na “vitisho” vya maafisa wa nchi za Magharibi. Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov alisema kauli za hivi majuzi za Rais…

Zaidi ya watu 140 wafariki kwa radi, dhoruba Pakistan

Zaidi ya watu 140 wamefariki dunia nchini Pakistan baada ya kupigwa na radi na matukio mengine yanayohusishwa na dhoruba katika mwezi huu wa Aprili, huku taifa hilo likishuhudia mvua kubwa kabisa. Pakistan imekumbwa na mafuriko makubwa, maporomoko ya ardhi na…

Tanzania na Urusi kushirikiana kudhibiti uhalifu wa kimtandao

Serikali imedhamiria kushirikiana na nchi ya Urusi katika kudhibiti uhalifu nchini ikiwemo uhalifu wa mtandao ambao umeanza kushamiri katika maeneo mbalimbali nchini huku ikiweka wazi dhamira ya kujengewa uwezo kwa askari wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na…

Mkutano wa kimataifa dhidi ya taka za plastiki kuanza tena

Wapatanishi kutoka nchi 175 wanakutana kuanzia Jumanne hii nchini Canada, ili kuhitimisha maandalizi ya mkataba wa kimataifa wa kukomesha uchafuzi wa mazingira utokanao na plastiki. Hatua hiyo inatarajiwa miezi mitano baada ya duru ya mwisho ya mazungumzo yaliyofanyika nchini Kenya….

Dk Biteko amwakilisa Rais Samia kwenye mazishi ya Mkuu wa Majeshi Kenya

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewasili jioni ya tarehe 20 Aprili 2024, Jijini Nairobi, Kenya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa…

Kenya yatangaza siku tatu za maombolezo kutokana na kifo cha mkuu wa majeshi

Rais William Ruto ametangaza kifo cha Ogolla pamoja na maafisa wengine 9 wa jeshi huku wawili wakinusuruka. Akitangaza kifo cha Jenerali Ogolla rais Ruto amesema kutakuwa na siku tatu za maombolezo kuanzia Ijumaa tarehe 19 Aprili ambapo bendera zitapeperushwa nusu…