JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Zaidi ya wagonjwa 160 wanapata matibabu Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kufuatia maandamano

Zaidi ya wagonjwa 160 wanapokea matibabu katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta kufuatia maandamano ya jana ya kupinga ushuru. Kaimu mkuu wa upasuaji katika hospitali hiyo Dk Benjamin Wabwire anasema wagonjwa wengi waliletwa wakiwa na majeraha mbalimbali , sita walikuwa…

Rais wa Kenya akabiliwa na wakati mgumu baada ya siku ya umwagaji damu

Baada ya siku ya maandamano, ghasia na umwagaji damu, Rais wa Kenya William Ruto alihutubia taifa kwa ujumbe wa huzuni na wenye nguvu. Akisema maandamano “halali” dhidi ya sera zake “yametekwa nyara na kundi la wahalifu waliopangwa,” alionya serikali yake…

ICC yatoa waranti ya kukamatwa viongozi waandamizi wa Urusi

Mahakama ya Kimaitaifa ya ICC imetoa waranti ya kukamatwa kwa waziri wa zamani wa ulinzi wa Urusi, Sergei Shoigu na jenerali wa juu, Valery Gerasimov, wanaodaiwa kuhusika na uhalifu katika vita vya Urusi Ukraine. Shoigu aliondolewa kwenye wadhifa wake wa…

Rais Ruto aapa kutokomeza maandamano ya vurugu

Rais wa Kenya William Ruto amelihutubia taifa usiku wa kuamkia Jumatano na kusema maandamano ya kupinga ongezeko la kodi na ushuru yalivamiwa na makundi ya wahalifu na kuapa kuwa matukio kama hayo hayatojirudia tena. Ruto ameapa kwamba matukio ya uvamizi…

Rais Ruto: Ghasia za Jumanne ni matukio ya Uhaini,

Rais wa Kenya William Ruto ameyataja matukio ya Jumanne ambapo waandamanaji wanaopinga nyongeza ya kodi waliingia bungeni na taasisi nyingine za serikali kuwa ni uhaini. Alionya kuwa hatua zitachukuliwa dhidi ya waandamanaji watakaojihusisha na ghasia. Watu sita wamethibitishwa kufariki na…

Muswada wa fedha 2024; Polisi wakabiliana na waandamanaji mjini Nairobi

Makabiliano makali yamezuka katikati ya mji wa Nairobi baada ya polisi kuwatawanya waandamanaji wa kupinga muswada wa fedha wa 2024. Umati wa waandamanaji ulikuwa umekusanyika katika barabara mbalimbali kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 wakati makabiliano yalipozuka. Polisi waliwarushia vitoa…