JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Marekani yamfunga miaka 45 jela rais wa zamani wa Honduras

Mahakama mjini New York imemhukumu rais wa zamani wa Honduras kifungo cha miaka 45 jela kwa makosa ya ulanguzi wa dawa za kulevya. Juan Orlando Hernandez alihukumiwa Jumatano kwa kuyasaidia makundi ya wauzaji wa dawa za kulevya kuingiza nchini Marekani…

Ruto asikiliza kilio cha Wakenya, asisitiza kubana matumizi

Kenya inashusha pumzi baada ya Mswada wa Fedha wa 2024 uliozua utata kutupiliwa mbali. Rais William Ruto hatimae ametangaza kusikiliza kilio cha wakenya walioupinga mswada huo kwa nguvu zote. Akilihutubia taifa kwa mara ya pili tangu maandamano kulitikisa taifa kwa…

Waandamanaji Kenya waapa kurudi tena barabarani

Wandamanaji nchini Kenya wameapa kuendelea na maandamano yao kupinga nyongeza mpya za ushuru, siku moja tu baada ya polisi kufyatua risasi na kuwaua takriban watu watano. Watu wengine zaidi ya 100 walijeruhiwa pia walipovamia majengo ya bunge. Katibu Mkuu wa…

Uhuru Kenyatta awaomba viongozi kuwasikiliza wananchi

Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta, ametoa wito wa amani kufuatia maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 ambayo siku ya Jumanne yalikumbwa na matukio ya vurugu baada ya waandamanaji kuvamia Bunge la Taifa. Katika taarifa kwa vyombo…

Urusi yafungia matangazo vyombo 81 vya habari vya Ulaya

Urusi imetangaza kuzifungia vyombo vya habari 81 vya Ulaya kutangaza kwenye ardhi ya yake. Katika taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi iliyotolewa Jumanne orodha hiyo inajumuisha vituo 77 vya habari, magazeti, majarida na machapisho ya mtandaoni kutoka…

Muswada wa Fedha 2024; Bunge laidhinisha, wanajeshi kulinda amani Kenya

Bunge la Kenya limeidhinisha ombi la Baraza la Ulinzi la kutumiwa kwa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kutoa ulinzi kufuatia maandamano ya kupinga muswada wa Fedha kote nchini. Kulingana na Waraka wa Amri ya Ziada iliyopangwa Jumatano, Juni 26,…