Category: Kimataifa
Huzuni, hasira baada ya watu 121 kupoteza maisha kutokana na mkanyagano India
Siku moja baada ya watu 121 kukanyagana hadi kufa katika hafla ya kidini katika jimbo la kaskazini mwa India la Uttar Pradesh, familia za baadhi ya waathiriwa bado zinawatafuta wapendwa wao. Tukio hilo lilitokea wakati wa satsang (tamasha ya kidini…
Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo Kongo
Wanajeshi 25 waliotiwa hatiani kwa kumkimbia adui wakati wa mapigano na kundi la waasi la M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamehukumiwa kifo kwenye kesi iliyofanyika jana huko Kivu Kaskazini. Kwa mujibu wa mawakili wao, kesi hiyo iliwajumuisha…
Daraja la kilomita 24 lafunguliwa China
Hatimaye China imefungua daraja lake linalopita baharini la kilomita 24 likiunganisha mji wa Shenzhen na Zhongshan katika Mkoa wa Guangdong, kusini mwa taifa hilo. Daraja hilo linaanzia kwenye makutano ya uwanja wa ndege wa Shenzhen na kuungana na Kisiwa cha Ma’anshan…
Serikali mpya ya muungano ya Afrika Kusini yatangazwa
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametangaza serikali mpya ya mseto, baada ya chama chake tawala cha African National Congress (ANC) kupoteza wingi wa wabunge katika uchaguzi wa mwezi Mei. Alisema “serikali ya umoja wa kitaifa… haijawahi kutokea katika historia…
Ruto: Sina hatia na vifo vya waandamanaji
Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa “hana hatia” na vifo vya waandamanaji vilivyotokea mapema wiki iliyopita katika maandamano ya kuipinga serikali yake. Ruto ametoa kauli hiyo wakati mamia ya watu wakikusanyika jana katika mji mkuu wa Nairobi kuwakumbuka watu…
Barabara zinazoelekea Ikulu ya Rais Kenya zawekwa vizuizi vya kiusalama
Kundi la vitengo kadhaa vya usalama vimetumwa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi ili kusubiri maandamano ya vijana yanayopangwa kufanyika siku ya Alhamisi. Waandamanaji hao wameapa kuandaa maandamano ya kuelekea ikulu ya rais ikiwa ndio kilele cha maandamano ya…