JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Biden ataka Wamarekani watulize joto la kisiasa

Rais wa Marekani Joe Biden Jumatatu ametoa wito kwa raia wa nchi hiyo kutuliza joto la kisiasa kufuatia jaribio la kumuua hasimu wake katika uchaguzi ujao Donald Trump huko Pennsylvania Jumamosi. Akizungumza na taifa kupitia afisi ya Oval kwenye ikulu…

Miili ya watu 8 yagunduliwa kwenye dampo la takataka Nairobi

Jeshi la polisi nchini Kenya limesema kuwa miili ya wanawake 8 iliyokuwa kwenye dampo katika eneo moja la makazi duni imepatikana jijini Nairobi. Jeshi hilo limeongeza kuwa kwa sasa linachunguza ili kupata uhusiano kati ya tukio hilo na masuala ya…

Kanisa Katoliki lalaani shambulio dhidi ya Trump

Viongozi mbalimbali duniani wameendela kulaani jaribio la mauaji dhidi ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump. Trump alishambuliwa kwa risasi Jumamosi alipokuwa kwenye kampeni ya uchaguzi huko huko Pennsylvania. Baada ya kauli za viongozi wa Umoja wa Mataifa, Umoja…

Polisi wachunguzwa kuhusu miili iliyotupwa Kenya

Mamlaka huru inayosimamia Jeshi la Polisi nchini Kenya IPOA imesema inachunguza polisi waliohusika kwa njia yoyote kufuatia ugunduzi wa miili iliyokatwakatwa na kutupwa kwenye shimo la jalala mjini Nairobi. Awali polisi walisema miili kadhaa iliyokatwakatwa ya wanawake sita iliyofungwa kwenye…

Wafungwa na walinzi wauawa katika Gereza la Mogadishu

Wafungwa watano na walinzi watatu wameuawa katika majibizano ya risasi wakati wa jaribio la kutaka kutoroka katika gereza kuu katika mji mkuu Mogadishu. Wafungwa hao wanadaiwa kuwa ni wanachama wa Al-Shabaab. Wafungwa watano wanaosemekana kuwa ni wanachama wa kundi wa…

Watu 71 wauawa baada ya shambulizi la Israel, Gaza

Kiongozi wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza Mohammed Deif anaaminika kuwa miongoni mwa wahanga wa shambulizi la anga la Israel ambalo mamlaka ya afya inayoendeshwa na Hamas huko Gaza Kiongozi wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza…