JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Maandamano yarejea tena kudai uwajibikaji Kenya

Maandamano ya amani yamerejea kote nchini Kenya kudai uwajibikaji na kuwakumbuka waliouawa katika wiki tatu za kupinga Mswada wa fedha wa 2024 uliotupiliwa mbali. Hali ni ya wasiwasi katikati ya jiji la Nairobi ambako maduka yamefungwa na idadi ya watu…

Rais Kagame ashinda kwa kishindo matokeo ya awali uchaguzi Rwanda

Rais wa Rwanda Paul Kagame yuko mbioni kuongeza utawala wake wa miaka 24 kwa miaka mingine mitano katika ushindi wa kishindo, huku kura nyingi zikihesabiwa kutoka katika uchaguzi wa Jumatatu. Ana 99.15% ya kura kufikia sasa, na takribani asilimia 79…

Rais wa Shirikisho la Soka Colombia, mtoto wake wakamatwa

RAIS wa Shrikisho la Mpira wa Miguu Colombia(FCF), Ramón Jesurún, na mtoto wake wamekamatwa baada ya kutokea ugomvi wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Amerika Kusini’Copa América‘ Julai 14 katika jiji la Miami, Marekani. Ramón, 71, na Ramón…

Mtu tajiri zaidi barani Afrika asema hana nyumba nje ya Nigeria

Tajiri mkubwa barani Afrika Aliko Dangote amewashangaza watu wengi wa Nigeria baada ya kusema hana nyumba nje ya nchi hiyo. Dangote alisema alikuwa na nyumba mbili – katika mji aliozaliwa wa Kano, na Lagos – na aliishi katika nyumba ya…

Polisi 200 zaidi wa Kenya waelekea Haiti

Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya waliondoka Jumatatu usiku kuelekea Haiti, chini ya mpango unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa unaolenga kumaliza ghasia za magenge ya wahalifu katika taifa hilo la Caribbean. Maafisa wengine 200 wa Polisi wa Kenya…

Muuaji wa wanawake 42 Kenya akamatwa akiwa klabu

Jeshi la Polisi nchini Kenya limetangaza kumkamata kijana Collins Jumaisi Khalusha (33) ambaye amekiri kuwaua Wanawake 42, baada ya kugunduliwa kwa miili tisa iliyokatwakatwa na kutupwa jalalani pembezoni mwa Mji mkuu wa Nairobi. kwa mujibu wa mkurugenzi wa makosa ya…