JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Trump aridhia kuwa mgombea urais wa Republican

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekubali rasmi uteuzi wa kuwania urais kwa tiketi ya Chama cha Republican katika mkutano mkuu uliotawaliwa zaidi na jaribio la mauaji dhidi yake. Katika hotuba yake ya dakika 90, Trump ametoa ahadi kemkem…

Makubaliano ya kuweka chini silaha DRC yarefushwa siku 15

Ikulu ya Marekani imesema makubaliano ya kusitisha mapigano na kuruhusu misaada ya kiutu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamerefushwa kwa siku 15 zaidi ambapo sasa yatafika Agosti 3. Msemaji wa Baraza la Kitaifa la Usalama la Ikulu ya Marekani,…

Rais Biden asitisha kampeni baada ya kugundulika na UVIKO

Ikulu ya Marekani White House imesema rais wa taifa hilo, Joe Biden amegundulika kuwa na virusi vya UVIKO-19 na kuonesha dalili za athari za wastani za virusi hivyo. Msemaji wake, Karine Jean-Pierre amesema Biden aliyekuwa tayari amepata chanjo hiyo na…

Wanasayansi wagundua pango la makazi mwezini

Kwa mara ya kwanza wanasayansi wamegundua pango la makazi mwezini. Pango hilo lenye kina cha mita 100, linaweza kuwa mahali pazuri kwa wanadamu kujenga makazi ya kudumu. “Ni moja tu kati ya mamia ya mapango yaliyofichwa katika ulimwengu wa chini…

Auawa katika maandamano ya kumtaka rais wa Kenya kuondoka madarakani

Waandamanaji wanaoipinga Serikali nchini Kenya walirejea barabarani wakiongeza madai ya kumtaka Rais William Ruto ajiuzulu licha ya mabadiliko yake ya hivi majuzi. Mwanamume mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi wakati wa makabiliano kati ya waandamanaji na vikosi vya usalama viungani mwa…

Trump amchagua JD Vance kama mgombea mwenza wake

Donald Trump amemteua Seneta wa Ohio JD Vance kuwa makamu wake wa rais. Wajumbe wa Kongamano la Kitaifa la chama cha Republican walimchagua rasmi Bw Vance, 39, Jumatatu baada ya Trump kutangaza kwenye mtandao wake wa kijamii kuwa amemchagua baada…