Category: Kimataifa
Gwiji Mike Tyson kurejea ulingoni baada ya miaka 19
Na Isri Mohamed Ikiwa ni miaka takribani 19 na miezi mitano imepita tangu Gwiji wa masumbwi duniani, Mike Tyson (58), atangaze kustaafu ngumi za ushindani, hatimaye ametangaza kurejea katika ngumi za kulipwa na anatarajia kupanda tena ulingoni Novemba 15, 2024…
Watu 14 wamefariki dunia na wengine 34 kujeruhiwa baada ya radi kupiga kanisa Uganda
Watu 14 waliuawa na wengine 34 kujeruhiwa baada ya radi kupiga kanisa katika wilaya ya kaskazini mwa Uganda ya Lamwo Jumamosi, Polisi walisema. Kanisa hilo liko katika kambi ya wakimbizi ya Palabek, Citizen imeripoti. Msemaji wa Polisi wa Uganda Kituuma…
Mamadi Doumbouya ajipandisha cheo na kuwa Jenerali wa Jeshi Guinea
Rais wa mpito wa Guinea, Mamadi Doumbouya, amejiweka katika hadhi ya juu ya kijeshi kwa kujipandisha cheo kuwa jenerali. Hii ni mara ya pili mwaka huu kwa kiongozi huyo wa utawala wa kijeshi wa CNRD, mwenye umri wa miaka 43,…
Mauaji ya waandishi yameongezeka duniani kwa asilimia 38, ripoti ya UN yaonyesha
Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Utamaduni (UNESCO) imethibitisha kuongezeka kwa mauaji ya waandishi wa habari duniani kwa asilimia 38 katika kipindi cha miaka miwili (2022-2023) ikilinganishwa na miaka miwili kabla yake. Waandishi 162 wameuawa wakiwa kazini,…
Naibu Rais Mteule Kithure Kindiki kuapishwa leo
Kamati maalum imebuniwa kupanga kuapishwa kwa Kithure Kindiki kama Naibu Rais mpya nchini Kenya. Mkuu wa Wafanyakazi ambaye pia ni Mkuu wa Utumishi wa Umma Felix Kosgei ametangaza kwenye gazeti la serikali kamati ya wanachama 23 kusimamia kuandaliwa kwa hafla…
Fahamu kombora jipya la Korea Kaskazini linaloipa tumbo joto Marekani
Korea Kaskazini imezindua kombora jipya la masafa marefu ambalo ukubwa wake umeshangaza hata wachambuzi wa masuala ya silaha ya nchi hiyo. Mtaalam wa masuala ya ulinzi Melissa Hanham anaelezea kombora hilo ni nini na kwanini ni tishio kwa Marekani na…