JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mwendesha Mashtaka wa ICC awasili DRC kwa uchunguzi wa uhalifu wa kivita

Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan, amewasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa lengo la kuimarisha juhudi za kuchunguza uhalifu unaoripotiwa kufanyika katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo. Ziara yake inafanyika wakati…

Wanaharakati Kenya waandamana kupinga kesi dhidi ya Besigye

Mashirika ya kiraia nchini Kenya na mengine ya kimataifa yamefanya maandamano ya amani hii leo ya kupinga kushikiliwa kwa wafungwa kinyume cha sheria na utekaji nyara wa kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye. Mashirika ya kiraia nchini Kenya na…

Ugonjwa usiojulikana waua zaidi ya watu 50 nchini Kongo

Kwa mujibu wa madaktari waliopo katika eneo hilo na shirika la afya duniani WHO, zaidi ya watu 50 wamefariki kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ugonjwa usiojulikana. Mkurugenzi wa hospitali ya Bikoro, kituo cha ufuatiliaji wa…

Macron : Makubaliano ya amani Ukraine lazima yawe na dhamana ya usalama

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa makubaliano yoyote ya amani kuhusu vita nchini Ukraine lazima yawe na dhamana ya usalama. Kauli hiyo alitoa alipokutana na Rais wa Marekani, Donald Trump, katika Ikulu ya White House kwa mazungumzo kuhusu mgogoro…

Papa Francis bado yuko hali mbaya kiafya

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis yuko katika hali mbaya ya kiafya baada ya vipimo vya damu kuonyesha dalili za mapema za kushindwa kwa figo. Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis yuko katika hali mbaya ya kiafya baada…

Trump tishio jipya Ukraine

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesisitiza umuhimu wa msaada wa Marekani katika juhudi za kurejesha amani nchini mwake. Katika hotuba yake, aliomba usaidizi wa dhati wa Washington kuhakikisha kumalizika kwa vita vinavyoendelea. Wakati huohuo, Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa…