JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Rais wa Tunisia amfuta kazi waziri mkuu

Rais Kais Saied wa Tunisia amemfuta kazi waziri mkuu wake, Ahmed Hachani, bila kutoa maelezo yoyote na badala yake kumteuwa waziri wake wa masuala ya kijamii, Kamel Madouri, kuchukuwa wadhifa huo. Kupitia mitandao ya kijamii cha ofisi yake, Saied anaonekana…

Uturuki kujiunga kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel

Uturuki itawasilisha maombi kwenye mahakama ya Umoja wa Mataifa ya kujiunga katika kuishtaki Israel kwa mauaji ya kimbari. Mashtaka hayo yaliwasilishwa na Afrika Kusini. Uturuki ni miongoni mwa nchi zilizojiunga hivi karibuni ili kushiriki katika kesi hiyo. Rais wa Uturuki,…

Marekani yakamilisha kujiondoa kijeshi Niger

Marekani imekabidhi kambi yake ya mwisho ya kijeshi kwa mamlaka ya Niger. Kambi hiyo ilikuwa mojawapo ya vituo viwili muhimu vya Marekani katika mapambano yake ya kukabiliana na ugaidi. Wizara za Ulinzi za Marekani na Niger zilitangaza kwenye taarifa ya…

Jeshi laanza rasmi jukumu la kuiongoza kwa muda Bangladesh

JESHI la Bangladesh limechukuwa rasmi udhibiti wa nchi Jumanne, baada ya maandamano makubwa ya umma kumlazimisha mtawala wa muda mrefu wa taifa hilo kujiuzulu na kukimbilia uhamishoni Rais wa Bangladesh Mohammed Shahabuddin tayari amelivunja bunge katika utekelezaji wa hatua ambayo…

Watu karibu 100 wafa maandamano ya Bangladesh

TAKRIBAN watu 100 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa jana Jumapili wakati wimbi jipya la maandamano dhidi ya serikali likizidi kuenea kote nchini Bangladesh. Waandamanaji wanamshinikiza waziri mkuu Sheikh Hasina ajiuzulu huku kiongozi huyo akiwashutumu waandamanaji kwa hujuma na kukata…

Haniyeh wa Hamas kuzikwa leo Qatar

Qatar leo inatarajiwa kufanya mazishi ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, baada ya mauaji yake huko Tehran, katika shambulizi linalodaiwa kufanywa na Israel, jambo lililosababisha hatari ya kuenea kwa machafuko. Haniyeh atazikwa katika maziara ya Lusail, kaskazini mwa Doha baada…