JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Kamanda wa Hezbollah auawa katika shambulizi la anga

JESHI la Israel limesema limemuua hivi leo kamanda wa kundi la wanamgambo la Hezbollah katika shambulio la anga kusini mwa Lebanon. Mwanamume huyo aliuawa karibu na mji wa pwani wa Tiro. Awali, Wizara ya Afya ya Lebanon ilitangaza kwamba mtu…

300 wafariki katika mlipuko wa kipindupindu Sudan

Shirika la Afya Duniani WHO linasema zaidi ya watu 300 wamefariki katika mlipuko wa kipindupindu nchini Sudan Mlipuko huo unafuatia mvua kubwa na mafuriko yaliotatiza huduma za afya na kuzusha hatari ya magonjwa mengine ya kuambukiza kama dengue na homa…

WHO: Kufunga mipaka hakutazuia virusi vya mpox kusambaa

Msemaji wa Shirika la Afya Ulimwenguni WHO Tarik Jasarevic amesema kufunga mipaka hakutazuia kusambaa kwa virusi vya homa ya nyani. Ameiambia DW kwamba uzoefu unaonyesha kwamba kufunga mipaka hakutasaidia kuvizuia virusi, akiangazia hatua kama hiyo ilipochukuliwa wakati wa janga la…

Mchungaji Mackenzie ashtakiwa kwa kuwaamrisha wafuasi wake wafunge hadi kufa Kenya

KesiI ya mauaji ya bila kukusudia inayomkabili mchungaji Paul Mackenzie imeanza kusikilizwa mjini Mombasa, Kenya. Mackenzie anadaiwa kuwaamrisha wafuasi wafunge hadi kufa ili wakutane na Yesu. Kiongozi wa kidini aliewahimiza waumini wake kufunga hadi kufa nchini Kenya ameshtakiwa kwa mauaji…

Rubani afariki dunia baada ya helikopta kuanguka juu ya hoteli Australia

Rubani mmoja amefariki baada ya helikopta kuanguka kwenye paa la hoteli moja katika mji wa Cairns kaskazini mwa Queensland. Ndege hiyo ilianguka kwenye hoteli ya DoubleTree mwendo wa 01:50 usiku kwa saa za eneo hilo siku ya Jumatatu, na kuwaka…

Miili yote 62 yapatikana katika ajali ya ndege ya Brazil

Miili yote imepatikana katika eneo la ajali ya ndege katika jimbo la São Paulo nchini Brazil na kusababisha vifo vya watu wote waliokuwa ndani ya ndege hiyo, mamlaka imethibitisha. Timu zilikuwa zikifanya kazi kutafuta na kutambua waathirika wa janga hilo…