Category: Kimataifa
Ulaya: Tutaongeza juhudi za kuzisaidia nchi masikini
Mjumbe wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia maswala ya mabadiliko ya tabia nchi Wopke Hoekstra amesema jumuiya hiyo itaongoza katika kutoa fedha kwa nchi masikini kupambana na ongezeko la joto duniani. Hoekstra, amesema hayo leo Jumatatu na kuongeza kuwa nchi zote…
Mlima Dr Congo wasambaratika na kufichua akiba kubwa ya shaba
Katika tukio la kushangaza, mlima mmoja katika mkoa wa Katanga, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) umesambaratika na kufichua akiba kubwa ya shaba. Video inayonyesha tukio hilo imeenea kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii, ikionyesha umati mkubwa wa…
Takriban watu 34 wameuawa shambulizi la Israel kaskazini mwa Gaza
Mashambulizi ya anga ya Israel kwenye jengo la ghorofa tano la makazi huko Beit Lahia kaskazini mwa Gaza yamesababisha vifo vya takriban watu 34, shirika la ulinzi wa raia la eneo hilo linasema. Shirika hilo, lililonukuliwa na AFP, lilisema wengi…
Zelensky kumaliza vita kwa diplomasia
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa angetamani vita na Urusi vimalizike mwaka ujao kwa njia za kidiplomasia, hasa wakati nchi zote mbili zikijiandaa kwa Donald Trump kurejea Ikulu. Matarajio ya Trump kurejea madarakani yameibua maswali kuhusu hatma ya mzozo…
Israel yafanya mashambulizi katika wilaya moja Damascus
Vyombo vya habari vya umma nchini Syria vimeripoti kuwa Israel imefanya mashambulizi katika wilaya moja ya Mazzeh iliyoko katika mji mkuu wa Damascus siku ya Ijumaa. Vyombo vya habari vya umma nchini Syria vimeripoti kuwa Israel imefanya mashambulizi katika wilaya…
Israel yashambulia mji wa Damascus
Shirika la habari la serikali ya Syria linasema kuwa takribani watu 15 waliuawa wakati wa mashambulizi ya anga ya Israel kwenye majengo mawili ya makazi magharibi mwa Damascus. Kwa mujibu wa ripoti hii, moja ya majengo hayo yapo katika kitongoji…