Category: Kimataifa
Rais wa Komoro aliyeshambuiwa na Polisi kwa kisu anaendelea vyema
MAAFISA nchini Komoro wamesema kuwa Rais Azali Assoumani’hayuko hatarin’ baada ya kujeruhiwa siku ya Ijumaa kwa kisu na Polisi mwenye umri wa miaka 24, ambaye baadaye alipatikana amekufa. Maafisa nchini Komoro walisema kuwa Rais Azali Assoumani hayuko hatarini baada ya…
Watu 37 wahukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC
MAHAKAMA ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliwahukumu kifo watu 37, wakiwemo raia watatu wa Marekani, baada ya kuwatia hatiani kwenye mashitaka ya kushiriki katika jaribio la mapinduzi. Akisoma hukumu hiyo siku ya juzi mjini Kinshasa, Jaji Meja…
Iran yawekewa vikwazo madai ya upelekaji makombora Urusi
Mataifa makubwa ya magahribi yametangaza orodha mpya ya vikwazo dhidi ya Iran wanayoituhumu kuipatia Urusi makombora ya masafa marefu ambayo inaaminika Moscow itayatumia dhidi ya Ukraine. Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zimetangaza kuifuta mikataba yote ya sekta ya anga na jamhuri…
Trump, Harris wapambana kwenye mdahalo
Wagombea wa urais wa Marekani, Kamala Harris wa chama cha Democratic na Donald Trump wa Republican wamepambana kwenye mdahalo wa televisheni usiku wa kuamkia leo kiasi miezi miwili kabla ya uchaguzi wa Novemba 5. Mdahalo huo wa kwanza baina yao…
Papa na imamu mkuu wa Indonesia watoa wito wa pamoja wa amani
Papa Francis ameonya dhidi ya kutumia dini kuchochea migogoro katika siku yake ya mwisho ya ziara yake nchini Indonesia, sehemu ya kwanza aliofika katika ziara yake ya kuzunguka eneo la Asia Pacific. Katika msikiti wa Istiqlal katika mji mkuu wa…
Mwanafunzi wa miaka 14 awaua wenzake kwa bunduki Marekani
Watu wanne wameuawa baada ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 kufyatua risasi katika shule ya sekondari huko Gerogia nchini Marekani.Waliouawa wametambulika kuwa ni wanafunzi wawili na walimu wawili. Watu wanne wameuawa baada ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14…