Category: Kimataifa
Shambulizi la Urusi nchini Ukraine lakatiza huduma za umeme
Shambulizi la usiku kucha la Urusi katika eneo la kati mwa Ukraine, Poltava limeharibu miundo mbinu ya nishati na kukata umeme kwenye makazi 20. Haya yamesemwa leo na mamlaka katika eneo hilo. Shambulizi la usiku kucha la Urusi katika eneo…
Meli ya kivita ya Misri yapeleka silaha Somalia
Waziri wa mambo ya nje wa Ethiopia amesema ana wasiwasi kwamba silaha zilizopelekwa nchini Somalia huenda zikaishia mikononi mwa magaidi. Haya yameripotiwa leo na shirika la habari la serikali ya Ethiopia siku moja baada ya meli ya kivita ya Misri…
Mashambulizi Israel yaua watu 490
Israel imezidisha vita vyake dhidi ya wanamgambo wa Hezbollah nchini Lebanon Septemba 23, huku vita hiyo ikiua takriban watu 490 na kujeruhi wengine zaidi ya 1,650 katika mashambulizi makubwa ya anga ambayo yamezua wasiwasi wa kutokea vita vikali. Jeshi la…
Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
Zaidi ya watu 70,000 wanaopigana katika jeshi la Urusi sasa wamefariki nchini Ukraine, kulingana na data iliyochambuliwa na BBC. Na kwa mara ya kwanza, watu wa kujitolea raia ambao walijiunga na vikosi vya jeshi baada ya kuanza kwa vita, sasa…
UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuunga mkono la kisheria la Palestina linaloitaka Israel kuondoka Gaza na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu katika ukanda wa magharibi nchini humo. Mataifa 43 kati 193 zikiwemo Ujerumani, yamejizuwia kupiga kura kuhusu…
Trump anusurika jaribio jingine la mauaji
RAIS wa zamani Donald Trump yuko salama kufuatia jaribio la mauaji katika uwanja wake wa gofu wa Florida, na “mshukiwa wa tukio hilo ” yuko kizuizini, mamlaka ya Marekani imethibitisha. Maafisa wa usalama waliona mtutu wa bunduki likipenya kwenye vichaka…