JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Hezbollah yathibitisha kifo cha kiongozi wake, Nasrallah

Kundi la wanamgambo la Hezbollah la nchini Lebanon, limethibitisha kuwa kiongozi wake na mmoja wa waanzilishi wake, Hassan Nasrallah ameuawa katika shambulizi la anga la Israel siku ya Ijumaa. “Sayyed Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hezbollah, ameungana na mashahidi wenzake…

Papa Francis akosoa kuibuka tena kwa vita

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis, leo ameanza ziara ya siku nne nchini Luxembourg na Ubelgiji akitoa wito wa diplomasia ya kimataifa na mashauriano huku kukiwa na wimbi la mizozo kote ulimwenguni. Papa Francis anapanga kuutumia muda wake katika…

Ulimwengu wataka Mashariki ya Kati isitumbukie vitani

Viongozi mbalimbali wa dunia wamehutubia mkutano wa Hadhara Kuu ya Umoja wa Mataifa wakiutahadharisha ulimwengu kutokana na kuanza kutanuka kwa vita vya Mashariki ya Kati. Mbali na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Gutteres, Rais wa Marekani, Joe Biden,…

Marekani : Iran inataka kumuua Trump

IDARA ya Ujasusi ya Marekani imemuonya mgombea urais kwa tiketi ya Republican, Donald Trump, juu ya kile inachodai ni kitisho cha kweli na cha wazi kutoka Iran inayotaka kumuua. Timu ya kampeni ya mgombea huyo ilisema kwenye taarifa yake ya…

Wasafirishaji binadamu wakamatwa

Polisi nchini Ujerumani imefanya msako katika majengo kadhaa kusini magharibi mwa nchi hiyo ili kuwakamata  watu wanaojihusisha na usafirishaji haramu wa binadamu . Jeshi la Polisi nchini humo tayari limeshapokea hati nne za kuwakamata na msako huo utaendelea kufanyika  katika…

P Didy aomba kuzungumza na watoto wake

Na Isri Mohamed Wakati akisubiri kusikiliza kesi yake katika kituo cha Metropolitan Detention Center cha Brooklyn, New York City, Rapa Sean Didy Combs maarufu kama P Didy, ameomba kuzungumza na watoto wake kwa njia ya simu ili kujua hali zao….