JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Urusi,Ukraine zashambuliana vikali kwa droni na makombora

Mapambano makali yameripotiwa Jumamosi kati ya Moscow na Kiev, ambapo watu watatu wameuawa katika eneo la mkoa wa Ukraine wa Kherson linalokaliwa na Urusi. Gavana wa Mkoa huo wa Kherson Vladimir Saldo amesema watu wawili wameuawa kwenye barabara kati ya…

Mfumuko wa bei waongezeka Kenya

Mfumuko wa bei wa kila mwaka nchini Kenya (KECPI=ECI), unafungua orodha mpya ya ongezeko kwa mwezi wa nne mfululizo hadi 3.5% mwezi Februari kutoka 3.3% mwezi Januari, ofisi ya takwimu ilisema Ijumaa. Mfumuko wa bei wa kimsingi ulisalia kwa 2.0%…

Urusi na Ukraine zaendelea kushambuliana

Mashambulizi ya makombora na droni yamesababisha vifo vya watu watatu katika eneo linalokaliwa na Urusi katika mkoa wa Kherson. Shirika la habari la Urusi  RIA limesema watu hao ni mwanamke na mtoto mmoja ambao waliuawa baada ya gari la wagonjwa kushambuliwa…

Mzozo wa Ukraine; Viongozi wa Ulaya wafanya ziara Marekani

Viongozi mbalimbali wa Ulaya wamefanya ziara nchini Marekani wiki hii ili kujaribu kuutafutia suluhu mzozo kati ya Urusi na Ukraine ambazo zimeendelea kushambuliana vikali. Baada ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, jana ilikuwa zamu ya Waziri Mkuu wa Uingereza Keir…

WHO : Mpox ni tishio duniani

Kamati ya wataalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inayosimamia dharura za afya kimataifa imeamua kwamba ugonjwa wa Mpox bado ni dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi duniani. Uamuzi huu ulifikiwa katika mkutano wa tatu wa Kamati ya Kanuni…

Trump aifutia kibali cha mafuta Venezuela

Kibali kilichoiruhusu kampuni kubwa ya mafuta ya Chevron Corp. kusafirisha mafuta ya Venezuela nchini Marekani kitasimamishwa wiki hii, hatua inayoukata uwezo wa kifedha wa taifa hilo la Amerika Kusini. Akitangaza uamuzi huo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social…