Category: Kimataifa
Takribani watu 29 wauawa Gaza
TAKRIBAN watu 29 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel katika eneo la kati na kaskazini mwa Ukanda wa Gaza Jumamosi na usiku kucha, Shirika la habari la Reuters linaripoti likiwanukuu madaktari. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilianza mashambulizi…
Hezbollah yatoa onyo kali kwa Israel kufuatia ongezeko la mashambulizi
Kundi la Hezbollah limetoa onyo kali kwa Waisraeli kuwataka wakae mbali na maeneo ya kijeshi kaskazini mwa Israel, hatua ambayo inalenga kuokoa maisha yao kutokana na mashambulizi yanayoendelea. Onyo hilo limekuja baada ya kuongezeka kwa mashambulizi ya Hezbollah katika eneo…
Kesi ya P Didy kuanza kusikilizwa mwaka 2025
Kesi ya rapa maarufu nchini Marekani Sean Comns maarufu kama P DIDDY imeamriwa kuanza kusikilizwa mwezi Mei 2025, kufuatia uamuzi wa mahakama katika kikao kilichohudhuriwa na P Diddy siku ya Alhamisi. P Diddy, akiwa amevalia sare ya gereza, aliketi kando…
Wanawake 200 Afrika hufanya kazi kiwanda cha droni Urusi zinazotumila kuishambulia Ukraine
Karibu wanawake 200 wenye miaka 18-22 kutoka barani Afrika, wamekuwa wakisajiliwa kwenda kufanya kazi Urusi, katika kiwanda kinachohusika kuunda maelfu ya droni za Iran zinazotumika kuishambulia Ukraine. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti maalumu iliyotolewa na shirika la habari la…
Bilionea Tata afariki akiwa hana mke wala mtoto
Bilionea na mfanyabiashara wa India aliyetambulika kimataifa, Ratan Tata (86) amefariki dunia Jumatano usiku baada ya kuugua kwa muda mrefu na kulazwa katika hospitali ya breach candy. Taarifa ya kifo chake imetolewa na Kampuni ya Tata aliyoiongoza kwa zaidi ya…
Jaji Mkuu Kenya kuunda jopo la majaji kusikiza kesi ya kupinga kuondolewa madarakani kwa Gachagua
Jaji Lawrence Mugambi amepeleka kesi ya kupinga kutimuliwa kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa Jaji Mkuu Martha Koome ili kuunda jopo la majaji litakalosikiza na kuamua suala hilo. Katika uamuzi wake wa Ijumaa asubuhi, Jaji Mugambi alisema ombi hilo linaibua…