Category: Kimataifa
Iran yamnyonga mpinzani raia wa Ujerumani
Iran imemnyonga mpinzani wa Ujerumani na Iran Jamshid Sharmahd, baada ya kukutwa na hatia ya “kuongoza operesheni za kigaidi”, vyombo vya habari vya serikali vinaripoti. Sharmahd alihukumiwa kifo mwaka jana baada ya kushutumiwa kwa kuongoza kundi la wafuasi wa kifalme…
Urusi yashambulia kwa mabomu jengo la kihistoria la Soviet Ukraine
Urusi wamelishambulia jengo inayojulikana kwa wakazi wote wa Kharkiv,” Oleh Syniehubov, gavana wa mkoa wa Kharkiv, aliandika kwenye Telegraph, amesema sakafu kadhaa zimeharibiwa. Jengo la Derzhprom, lililowekwa kwenye orodha “ya majaribio” ya Maeneo ya Urithi wa Dunia wa UNESCO, lilikamilishwa…
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Waandishi wa habari watatu wameuawa katika shambulizi la anga la Israel dhidi ya jengo linalojulikana kuwa na wanahabari kusini-mashariki mwa Lebanon, walioshuhudia wameiambia BBC. Shambulio hilo lilitekelezwa kwenye nyumba ya wageni inayotumiwa na waandishi wa habari katika eneo la Hasbaya…
Chad, Jamhuri ya Afrika ya Kati wataka kuunda kikosi mseto cha usalama mpakani
Itifaki hii ilianzishwa na mawaziri wa ulinzi wa nchi hizo mbili baada ya siku nne za tume ya pamoja mjini Bangui, kulingana na chanzo kimoja. Chad na Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambazo zinatumia mpaka wa karibu kilomita 1,200, pia…
DRC: M23 wadhibiti tena mji wa Kalembe, mashariki mwa nchi
Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, wameuteka tena mji wa Kalembe, huko Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Siku ya Jumapili, M23 walichukua udhibiti wa mji huo ulioko zaidi ya kilomita 150 magharibi mwa Goma, kabla…
Mtoto wa Museveni asema hakuna raia atakayekuwa rais wa Uganda
Mkuu wa Jeshi la Uganda, ambaye ni mtoto wa kiume wa Rais Yoweri Museveni, Generali Muhoozi Kainerugaba, amesema kwamba hakuna rais atakayeongoza Uganda na kwamba hilo ni jukumu la wanajeshi au Polisi. Muhoozi, ambaye amesema hatagombea urais katika uchaguzi mkuu…