JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Papa Francis akumbwa na tatizo la kushindwa kupumua mara mbili

PAPA Francis yuko macho baada ya kukumbwa na matukio mawili ya ‘kushindwa kupumua’ siku ya Jumatatu alasiri, imesema Vatican. Madaktari walilazimika kuingilia kati ili kuondoa kamasi kwenye mapafu ya Papa, imesema taarifa kutoka serikali kuu ya Vatican ya Holy See,…

Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia mzozo wake na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy wiki iliyopita, amesema afisa wa Ikulu ya White House. “Rais Trump amekuwa wazi kuwa anataka amani. Tunataka pia washirika…

Trump akifanya Kiingereza kuwa lugha rasmi ya Marekani

Rais Donald Trump ameweka saini agizo linalotangaza Kiingereza kuwa lugha rasmi ya Marekani, hatua inayobatilisha sera ya awali iliyoanzishwa na Rais Bill Clinton mwaka 2000. Sera hiyo ilihitaji mashirika ya serikali kutoa msaada kwa watu wasiozungumza Kiingereza. Hii ni mara…

Papa Francis atoa wito wa amani na kusuluhishwa kwa mizozo

Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini kwa zaidi ya wiki mbili kwa ugonjwa wa maambukizi ya mapafu amewashukuru leo waumini wa kanisa katoliki kote duniani kwa msaada na kumuonesha upendo. Kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini…

Viongozi wa Ulaya wakubaliana kuhusu amani ya Ukraine

Viongozi wa Ulaya wametangaza kuiunga mkono Ukraine katika mkutano wa kilele uliofanyika London. Wameahidi kutumia fedha zaidi kwenye usalama na kuunda muungano wa kuyalinda makubaliano yoyote ya amani nchini Ukraine. Mazungumzo hayo, ambayo yaliwaleta Pamoja washirika 18, yalijiri siku mbili…

Aliyekuwa Mkuu wa Kitivo cha Tiba Butare ashtakiwa Paris kwa mauaji ya kimbari Rwanda

Aliyekuwa kiongozi wa Kitivo cha Tiba katika Chuo Kikuu cha Butare, Rwanda, amefikishwa mahakamani mjini Paris akikabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari, uhalifu dhidi ya binadamu, na kula njama ya kutekeleza uhalifu huo. Alphonse K., mwenye umri wa miaka…