Category: Kimataifa
Moscow yalengwa huku Ukraine na Urusi zikishambuliana kwa ndege zisizo na rubani
Huku vita vya Urusi na Ukraine vikiingia awamu mpya ya mashambulizi makubwa ya ndege zisizo na rubani, kila upande umeendesha mashambulizi makubwa zaidi tangu kuanza kwa mzozo huo. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema ilifanikiwa kudhibiti ndege 84 za Ukraine…
Donald Tusk kukutana na wenzake wa Ulaya kuijadili Ukraine
Waziri Mkuu wa Poland Donald Tusk, atakutana na baadhi ya viongozi wa Ulaya kuzungumzia ushirikiano wa kimaeneo pamoja na vita vya Ukraine. Tusk, atakutana na Emmanuel Macron wa Ufaransa, Waziri Mkuu wa Uingereza Kier Starmer, Kiongozi wa Jumuiya ya kujihami…
Qatar yasitisha jukumu la kuwa mpatanishi wa Israel na Hamas
Qatar imesitisha jukumu la kuwa mpatanishi katika mazungumzo ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka kati ya Israel na Hamas, maafisa wanasema. Nchi hiyo ilisema itaanza tena kazi yake wakati Hamas na Israel “zitaonesha nia ” ya kufanya mazungumzo. Haya yanajiri…
Ukraine yapokea miili ya wanajeshi 563
Serikali ya Ukraine imethibisha kupokea miili ya wanajeshi 563 kutoka kwa mamlaka ya Urusi ambao wengi wao ni wanajeshi waliouawa katika mapigano katika eneo la mashariki la Donetsk. Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa hii leo imesema kuwa miili mingine…
Hezbollah kulipiza mashambulizi
Hezbollah imetangaza kurusha makombora katika kambi ya Jeshi la Wanamaji la Israel na uwanja wa ndege wa kijeshi karibu na mji wa Haifa kwa mara ya pili katika muda wa chini ya saa 24, huku kukiwa na makabiliano ya wazi…
Mgogoro wa Kisiasa Ujerumani; Scholz amfukuza Kazi Waziri wa Fedha na kuvunja muungano
Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, amefukuza kazi Waziri wake wa Fedha, Christian Lindner, katika hatua inayolenga kumaliza mgawanyiko wa ndani lakini ambayo imezua mzozo wa kisiasa nchini. Hatua hii imefanya muungano uliokuwa unaiongoza serikali kuvunjika rasmi, huku chama cha kiliberali…