JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mashirika ya ndege yasitisha safari za Haiti baada ya ndege kupigwa risasi

Mashirika kadhaa ya ndege yamesitisha safari za kuelekea Haiti baada ya ndege ya abiria kutoka Marekani kupigwa risasi ilipokuwa ikijaribu kutua Port-au-Prince. Ndege ya Spirit Airlines 951 kutoka Fort Lauderdale huko Florida ilielekezwa katika nchi jirani ya Jamhuri ya Dominika,…

Mwandishi wa habari katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 ashinda tuzo ya haki za binadamu

Mwandishi wa habari aliyefungwa katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 bila kushtakiwa ameshinda tuzo ya haki za binadamu ya Sweden kwa kujitolea kwake kwa uhuru wa kujieleza. Dawit Isaak, ambaye ana uraia wa Eritrea na Sweden, alipewa Tuzo ya…

Machafuko ya kisiasa yaripotiwa kuelekea uchaguzi wa wabunge Senegal

Nchini Senegal, kuelekea uchaguzi wa wabunge siku ya Jumapili, muungano wa mashirika 46 ya kiraia unaonya kuwepo kwa ongezeko la machafuko ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni.. Mashirika ya kiraia yanayofuatilia mwenendo wa kampeni hizo katika maeneo mbalimbali ya…

Rwanda yapeleka msaada wa kibinadamu Gaza

Serikali ya Rwanda imepeleka shehena ya misaada ya kibinadamu zaidi ya tani 19 za chakula,vyakula vya watoto, dawa na vifaa vya matibabu kusaidia wananchi wa Gaza. “Rwanda itaunga mkono  jitihada za kimataifa katika kutoa misaada ya kibinadamu kwa wananchi wa…

UN yaanza kuchunguza uhalifu wa kivita Darfur

Jopo la wataalamu lililoundwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewasili nchini Sudan kuchunguza madai ya uhalifu wa kivita uliofanywa na Jeshi la wanamgambo wa (RSF) katika eneo la magharibi la Darfur. Timu hiyo iliwasili katika mji wa…

Pakistan: Zaidi ya watu 17 wameuawa katika mlipuko kwenye kituo cha treni

Watu zaidi ya 17 wameuawa katika mlipuko kwenye kituo cha treni katika wilaya Balochistan nchini Pakistan wakiwemo wanajeshi 14 , mamia ya wengine wakiripotiwa kujeruhiwa kwa mujibu wa taarifa ya polisi. Mamlaka imeliambia Shirika la Habari la AFP kwamba huenda…