JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Biden atoa hotuba ya kuaga na kuhofia utawala ujao wa Trump

Rais wa Marekani Joe Biden anayetarajia kukabidhi madaraka kwa rais mteule Donald Trump Januari 20, ametoa Jumatano jioni hotuba ya kuaga na kuelezea wasiwasi wake kwa utawala ujao. Katika hotuba hiyo, Biden amesema Marekani inaangukia mikononi mwa matajiri wachache ambao…

Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza yapongezwa kimataifa

Viongozi mbalimbali wa dunia wapongeza makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kuachiliwa kwa mateka ambayo yataanza kutekelezwa rasmi Jumapili mchana. Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi, ametoa wito wa kuwasilishwa kwa msaada wa haraka wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza,…

Korea Kaskazini yafyatua makombora ya majaribio

Serikali ya Korea Kusini imesema kuwa Korea Kaskazini imefyatua makombora ya majaribio ya masafa mafupi kuelekea baharini, huku rais mteule wa Marekani, Donald Trump, akiwa karibu kuingia madarakani. Tukio hili limetokea wakati Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Takeshi…

Jeshi la Ukraine lafanya shambulizi kubwa zaidi Urusi

Ukraine imeshambulia maeneo kadhaa ya Urusi siku ya Jumanne katika kile inachosema ni shambulio lake “kubwa zaidi” hadi sasa. Maghala ya kuhifadhia risasi na viwanda vya kemikali vilishambuliwa katika mikoa kadhaa, baadhi yao ikiwa mamia ya kilomita kutoka mpakani, kulingana…

Kesi ya kumuondoa madarakani rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi yaanza kusikilizwa

Mahakama ya kikatiba ya Korea Kusini imefanya kikao chake cha kwanza kuamua iwapo Rais aliyesimamishwa kazi Yoon Suk Yeol aondolewe madarakani baada ya jaribio lake la kushtukiza la kutekeleza sheria ya kijeshi mwezi uliopita. Hata hivyo kikao hicho kiliisha ndani…

Wanaume wa Kihindu waliopakwa majivu waongoza ibada ya kuoga India

Wanaume watakatifu wa Kihindu waliopakwa majivu waliingia kwenye mto mtakatifu zaidi wa India wa Ganges alfajiri ya siku ya kwanza ambayo ni muhimu katika ibada ya kuoga ya sikukuu ya Kumbh Mela kwenye Jiji la (askazini la Prayagraj. Waumi hao…