JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Dawa maarufu ya kupunguza uzito yaanza kuuzwa China

Kampuni ya Novo Nordisk imezindua dawa yake ya kupunguza uzito ya Wegovy nchini China baada ya kuidhinishwa na mamlaka ya afya mwezi Juni. Zaidi ya watu milioni 180 wanaishi na uzito wa kupindukia nchini China, ambayo ina idadi ya watu…

Maaskofu wa Kanisa Katoliki wakataa mchango wa Ruto

Jimbo kuu la Kanisa Katoliki Nairobi limesisitiza kujitolea kwake kuzingatia sera ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Kenya (KCCB) kuhusu michango ya kisiasa kanisani. Hapo juzi, Jimbo Kuu lilitangaza kukataliwa kwa michango kadhaa iliyotolewa katika Kanisa Katoliki la…

Ulaya: Tutaongeza juhudi za kuzisaidia nchi masikini

Mjumbe wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia maswala ya mabadiliko ya tabia nchi Wopke Hoekstra amesema jumuiya hiyo itaongoza katika kutoa fedha kwa nchi masikini kupambana na ongezeko la joto duniani. Hoekstra, amesema hayo leo Jumatatu na kuongeza kuwa nchi zote…

Mlima Dr Congo wasambaratika na kufichua akiba kubwa ya shaba

Katika tukio la kushangaza, mlima mmoja katika mkoa wa Katanga, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) umesambaratika na kufichua akiba kubwa ya shaba. Video inayonyesha tukio hilo imeenea kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii, ikionyesha umati mkubwa wa…

Takriban watu 34 wameuawa shambulizi la Israel kaskazini mwa Gaza

Mashambulizi ya anga ya Israel kwenye jengo la ghorofa tano la makazi huko Beit Lahia kaskazini mwa Gaza yamesababisha vifo vya takriban watu 34, shirika la ulinzi wa raia la eneo hilo linasema. Shirika hilo, lililonukuliwa na AFP, lilisema wengi…

Zelensky kumaliza vita kwa diplomasia

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa angetamani vita na Urusi vimalizike mwaka ujao kwa njia za kidiplomasia, hasa wakati nchi zote mbili zikijiandaa kwa Donald Trump kurejea Ikulu. Matarajio ya Trump kurejea madarakani yameibua maswali kuhusu hatma ya mzozo…