Category: Kimataifa
TikTok yarejesha huduma zake Marekani baada ya ahadi ya Trump
TikTok imerejesha huduma zake kwa watumiaji wake milioni 170 nchini Marekani baada ya Rais Mteule Donald Trump kusema atatoa agizo la kuipa programu hiyo ahueni atakapoingia madarakani rasmi hii leo. Jumamosi jioni, programu hiyo inayomilikiwa na Wachina ilisitisha huduma zake…
Trump aahidi kuwazuia wahamiaji kuingia Marekani
Donald Trump ameahidi kuchukua hatua kadhaa za kuzuia kile alichokiita “kuanguka kwa Marekani” mara tu atakapoapishwa rasmi kama rais wa nchi hiyo Jumatatu. Akiwahutubia wafuasi wake walioujaza uwanja wa michezo wa One Sports Arena huko Washington usiku wa kuamkia Jumatatu…
Kagame ailaani Jumuiya ya Kimataifa kutilia shaka Rwanda
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ameilaani jamii ya kimataifa inayokosoa demokrasia nchini Rwanda, akisema inashindwa kuelewa ukweli wa hali halisi. Akizungumza kuhusu mzozo unaoendelea kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda, Rais Kagame ameonyesha wasiwasi kuhusu shutuma…
Vifo Gaza vyafikia 77 kufuatia mashambulizi ya Israel
Idadi ya vifo kutokana na mashambulizi ya angani ya Israel huko Gaza imefikia 77, saa chache baada ya kutangazwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachia mateka. Wizara ya Afya ya Gaza imesema watu 81 wameuawa katika kipindi cha saa…
Trump atafuta njia ya kuzuia kufungwa kwa Tik Tok
Rais mteule wa Marekani Donald Trump atatafuta njia ya kuzuia kufungwa kwa TikTok kabla ya marufuku dhidi ya programu hiyo kuanza kutekelezwa wikendi hii, mshauri wake ajaye kuhusu usalama wa taifa amesema. Mbunge Mike Waltz wa Florida, alisema Trump ataingilia…
CHAN 2024; Wasemavyo wadau wa soka kuhusu droo, kuahirishwa kwa michuano
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetangaza droo ya michuano ya CHAN inayoandaliwa mwaka huu kwa ushirikiano wa nchi ya Kenya,Tanzania na Uganda. Droo hiI ilitangazwa siku moja tu baada ya michuano hiyo kuahirishwa kutoka mwezi Februari hadi Agosti mwaka…