Category: Kimataifa
Israel kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Iran
Israel haijaondoa uwezekano wa kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Iran katika miezi ijayo licha ya Rais Donald Trump kumwambia Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba Marekani kwa sasa haiko tayari kuunga mkono hatua kama hiyo, kulingana na afisa mmoja…
Watu 70 wauawa kufuatia shambulio la Marekani huko Yemen
Zaidi ya watu 70 wameuawa na idadi isiyojulikana kujeruhiwa kufuatia shambulio la anga la Marekani kwenye bandari muhimu ya mafuta inayoshikiliwa na waasi wa Houthi nchini Yemen. Zaidi ya watu 70 wameuawa na idadi isiyojulikana kujeruhiwa kufuatia shambulio la anga…
Watu 143 wafariki katika ajali ya boti nchini DR Kongo
Takriban watu 143 wamefariki na wengine kadhaa hawajulikani waliko baada ya boti iliyokuwa imebeba mafuta kuwaka moto na kupinduka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa maafisa nchini humo. Takriban watu 143 wamefariki na wengine kadhaa…
China yageukia Canada kwa uagizaji mafuta badala ya Marekani
China imegeukia uagizaji wa mafuta kutoka Canada baada ya kupunguza uagizaji wa bidhaa hiyo kutoka Marekani kwa karibu asilimia 90 huku vita vya kibiashara vikiendelea. Upanuzi wa bomba la mafuta Magharibi mwa Canada ambao ulifanyika chini ya mwaka mmoja uliopita…
WTO latabiri kuporomoka kwa biashara duniani
SHIRIKA la biashara duniani,WTO limesema biashara ya bidhaa ulimwenguni, inatarajiwa kushuka kati ya asilimia 0.2 na 1.5 mwaka huu Shirika hilo limesema utabiri huo utategemea namna ushuru uliowekwa na rais Donald Trump utakavyosababisha athari. WTO imetahadharisha kwamba hali ya wasiwasi…
‘Harvard inaweza kupoteza uwezo wa kusajili wanafunzi wa kigeni’
Wizara ya Usalama wa Ndani ya Marekani ilisema Chuo Kikuu cha Harvard kitapoteza uwezo wa kusajili wanafunzi wa kigeni ikiwa haitakubali kutimiza matakwa ya serikali ya Trump kushirikisha taarifa za baadhi ya wamiliki wa visa, kuashiria kuongezeka kwa mtafaruku kati…