JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Hatma ya Rwanda, DRC Congo bado haijulikani

Mazungumzo yaliyopangwa kufanyika Jumapili ya viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumaliza mzozo wa Mashariki mwa Congo yamefutwa baada ya majadiliano kukwama. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mpatanishi wa Umoja wa Afrika kwa  ajili ya kumaliza…

Meli mbili za mafuta za Urusi zaharibiwa katika Bahari Nyeusi

Meli mbili za mafuta za Urusi zimeharibika vibaya katika Bahari Nyeusi, na kusababisha mafuta kumwagika, mamlaka nchini Urusi imesema. Picha zilizotolewa na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Uchukuzi Kusini mwa Urusi zilionyesha moja ya meli ikiwa imeharibika kabisa, huku mafuta…

38 wauawa magharibi mwa Darfur

Watu 38 wameuawa Magharibi mwa jimbo la Darfur nchini Sudan, baada ya wanamgambo wa RSF kutumia ndege isiyokuwa na rubani, kutekeleza shambulio hilo. Wanamgambo wa RSF wamerusha makombora manne kuwalenga watu kwa mujibu wa wanaharakati, wanaosema mashambulio yameendelea kuongeza katika…

Somalia Ethiopia kumaliza mivutano ya kikanda

Serikali ya Marekani imepongeza hatua ya makubaliano yaliyofikiwa na Somalia na Ethiopia ya kumaliza mivutano ya kikanda, iliyochochewa na shinikizo la Ethiopia la ufikiaji salama wa baharini. Katika taarifa maalum iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony…

Kiongozi Uganda aunga mkono kesi za kijeshi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 80 ametetea matumizi ya mahakama za kijeshi kuwashitaki raia, kufuatia malalamiko ya kukamatwa na kushtakiwa kwa kiongozi wa upinzani Kizza Besigye. Besigye mwenye umri wa miaka 68 ameshtakiwa katika mahakama ya…

Mtoto wa miaka 11 aokolewa baada ya siku 3 baharini

Mtoto wa kike wa miaka 11 kutoka Sierreleone, aliyenusurika peke yake katika ajali ya boti aliokolewa usiku wa kuamkia Jumatano baada ya kukaa kwa siku tatu baharini katika kisiwa cha Italia cha Lampedusa. Shirika la hisani la uokozi la Kijerumani…