JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Netanyahu afanyiwa upasuaji wa tezi dume

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amefanyiwa upasuaji wa tezi dume . Upasuaji huo umekuja baada ya kugundulika alipata maambukizi kwenye njia ya mkojo. Kwa mujibu wa madaktari wanaoendelea kumtibu wamesema Waziri Mkuu Netanyahu anaendelea vizuri na matibabu. S Hatahivyo…

Chad yafanya uchaguzi baada ya miaka 3 ya utawala wa kijeshi

Raia wa Chad walipiga kura hapo jana katika uchaguzi mkuu ambao serikali imeusifu kuwa ni hatua muhimu ya mpito wa kisiasa, baada ya miaka mitatu ya utawala wa kijeshi. Hata hivyo uchaguzi huo ulishuhudia idadi ndogo ya wapiga kura huku…

Watu 120 wafariki katika ajali ya ndege Korea Kusini

Ndege iliyokuwa imebeba abiria 181 imeanguka katika uwanja wa ndege kusini magharibi mwa Korea Kusini. Ajali hiyo ilitokea muda mfupi baada ya 09:00 saa za eneo – 00:00 GMT – wakati ilipokuwa ikitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa…

Jeshi la Kongo ‘ladungua ndege zisizo na rubani’ za Rwanda

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo ‘limedungua’ ndege sita zisizo na rubani za Kamikaze za Jeshi la Rwanda katika mji wa Mambasa eneo la Lubero katika Mkoa wa Nord Kivu. Msemaji wa Jeshi Lt Kanali Mak Hazukay alisema waasi…

Waandishi wa habari watano Gaza wauawa

Kituo cha Televisheni cha Palestina kimesema waandishi wa habari watano kutoka kituo hicho wameuawa katika shambulizi la Israeli katika Ukanda wa Gaza katikati. Walikuwa katika gari la Quds Today lililokuwa limeegeshwa nje ya hospitali ya al-Awda, ambapo mke wa mmoja…

Chombo cha anga za juu cha NASA chajaribu kuweka historia kwa kuwa karibu zaidi na jua

Chombo hicho cha Parker Solar Probe kilisafiri katika angahewa ya nje ya nyota yetu, kikistahimili joto na mionzi mikali. Hakitakuwa na mawasiliano yoyote kwa siku kadhaa wakati huu wa joto kali na wanasayansi watakuwa wakisubiri ishara, inayotarajiwa tarehe 27 Desemba,…