JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

MWANAFUNZI AWAMIMINIA RISASI WANAFUNZI WENZAKE NA KUWAUA 17, MAREKANI

  Watu 17 wameuawa katika mauaji ya watu wengi yaliyofanywa katika shule moja huko Florida Marekani. Kwa mujibu wa polisi, mtuhumiwa huyo ametajwa kwa jina la Nikolaus Cruz mwenye umri wa miaka 19 na kwamba alikuwa mwanafunzi katika shule hiyo…

TANZIA: Kiongozi Mkuu wa Upinzani wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai Afariki

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Zimbabwe Morgan Tsvangirai amefariki dunia nchini Afrika kusini. Kwa mujibu wa kiongozi Mwandamizi wa chama cha MDC, Tsvangirai mwenye umri wa 65, na aliyewahi kushika nafasi ya Uwaziri mkuu nchini Zimbabwe ameripotiwa kuwa alikuwa akisumbuliwa…

RAIS WA AFRIKA KUSINI, JACOB ZUMA ANG’ATUKA MADARAKANI

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amejiuzulu baada ya shinikizo nyingi kutoka kwa chama chake. Kapitia hotuba yake iliyopeperushwa kwa njia ya televisheni alisema anajiuzulu mara moja lakini akaongeza kuwa hakubaliani na uamuzi wa chama cha ANC. Chama cha ANC…

Korea Kaskazini Yaonyesha Nguvu za Kijeshi

Siku moja kabla ya kufunguliwa kwa michezo ya Olympiki ya Majira ya Baridi nchini Korea Kusini, Korea Kaskazini imefanya gwaride kubwa la kijeshi kuadhimisha miaka 70 tangu kuanzishwa kwa jeshi la nchi hiyo. Afisa wa Korea Kusini ambaye hakutaka kutajwa…

Jacob Zuma Apewa Masaa 48 Kung’atuka Madarakani

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amepewa saa 48 kujiuzulu, wadhfa wake huo. Kwa mujibu shirika la Utangazaji la Afrika Kusini -SABC- na vyanzo vingine vya habari, hatua hii inakuja baada ya mlolongo wa mazungumzo yaliyofanywa na chama tawala cha…

RAIS WA ZAMANI WA LIBERIA ELLEN JOHNSON SIRLEAF ASHINDA TUZO YA KIONGOZI BORA WA AFRIKA INAYOTOLEWA NA MO IBRAHIM

Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ameshinda tuzo ya mwaka ya Mo Ibrahim kwa Uongozi wa Afrika – ambayo hupewa viongozi wa Afrika ambao wameonekana kuwa na utawala mzuri. Ellen Johnson Sirleaf amekuwa mwanamke wa kwanza barani Afrika…