Category: Kimataifa
Mtoto wa miaka miwili afariki baada ya kujipiga risasi Texas, Marekani
MAREKANI : Mtoto wa umri wa miaka miwili nchini Marekani amefariki baada ya kujipiga risasi kichwani kwa bunduki ambayo imekuwa ikihifadhiwa na wazazi wake nyumbani kwao. Polisi wa Houston, Texas wanasema wazazi wa mtoto huyo – Christopher Williams Jr –…
Baba Mzazi wa Michael Jackson Amefariki
Baba mzazi wa Micheal Jackson, Joe Jackson amefariki dunia jioni ya jana akiwa na umri wa miaka 89 alikuwa akisumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa saratani. Ikumbukwe June 25 ilikuwa ni kumbukumbu ya miaka mitano ya kifo cha mtoto…
Mwanamume afunga ndoa na wanawake wawili wakati mmoja
Kijana mmoja raia wa Somalia ambaye alioa wanawake wawili usiku mmoja amesema kwamba atawashawishi wanaume wengine kufanya hivyo. Bashir Mohamed anasema kuwa aliwachumbia wanawake wote kwa takriban miezi minane na kuwashawishi kufunga ndoa naye. ”Nilikuwa nikiwaleta nyumbaji wote pamoja”, alisema….
Miaka 9 tokea kifo cha Michael Jackson, kuna haya ya kuyafahamu
Miaka tisa tokea dunia ipate taarifa za kifo cha mfalme wa muziki wa Pop duniani Marehemu Michael Jackson ambaye alifahamika duniani kote kutokana na upekee aliokuwa nao katika uchezaji pamoja na nyimbo zake ambazo zilipendwa na watu wengi ulimwenguni. Marehemu…
Mtu wa pili kutembea kwenye Mwezi awashtaki wanawe
Mwanaanga maarufu kutoka Marekani Buzz Aldrin amewashtaki watoto wake wawili na meneja wa zamani wa biashara zake akidai kwamba waliiba pesa zake. Aidha, anadai walimharibia sifa ambazo amejizolea katika maisha yake. Kesi hiyo, ambayo ilifichuliwa Jumatatu, iliwasilishwa katika mahakama moja…
MUUZA SAMBUSA ZA NYAMA YA PAKA KENYA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Mtu aliyetuhumiwa kwa kuuza nyama ya paka wauzaji sambusa amehukumwa kifungo cha miaka mitatu na mahakama ya Nakuru Hakimu mkuu Benard Mararo alimhukumu James Mukangu Kimani baada ya kukiri kosa hilo alipowasili katika mahakama hiyo siku ya Jumatatu. Bwana Kimani…