Category: Kimataifa
Emmanuel Ramazani Shadari ndiye atakayemrithi rais Joseph Kabila DR Congo
Marekani imepanga kuweka vikwazo vipya kwa Urusi ikiwa ni kujibu kitendo cha shambulizi la sumu la afisa wa zamani wa usalama wa Urusi Sergei Skripal na mtoto wake wa kike nchini Uingereza. Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa…
Mwanasiasa wa Zimbabwe Tendai Biti anyimwa hifadhi Zambia
Mwanasiasa wa cheo cha juu kwenye muungano wa upinzani nchini Zimbabwe MDC Tendai Biti amenyimwa hifadhi kwenye taifa jirani la Zambia. Polisi wa Zimbabwe wanamlaumu Bw Biti kwa kuchochea ghasia kufuatia uchaguzi wa mwezi uliopita. Waziri wa mashauri ya nchi…
Ethiopia yatia saini mkataba wa kumaliza uhasama na waasi wa Oromo Liberation Front – OLF
Serikali ya Ethiopia imetia saini muafaka wa amani na kundi moja kuu la waasi nchini humo Oromo Liberation Front- OLF, ili kukomesha uhasama nchini humo. Awali utawala huko Addis Ababa ulitangaza kuwa sasa kundi hilo halitaitwa la kigaidi kama ilivyokuwa…
Tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo, Agost, 4 , 1961 alizaliwa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Hussein Obama
Tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo, Agost, 4 , 1961 alizaliwa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Hussein Obama, huko Honolulu, Hawaii, Marekani. Obama alikuwa Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika nafasi hiyo ya urais…
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zimbabwe
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zimbabwe kwa mujibu wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo. Katika majimbo 10 yote yalioyotangazwa, Mnangagwa ameshinda kwa asilimia 50.8 ya kura kwa asilimia 44.3 alizopata mgombea wa chama cha…
Jean Pierre Bemba arudi nyumbani DRC baada ya muongo mmoja
Kiongozi wa upinzani nchini Kongo, Jean Pierre Bemba amerudi nyumbani leo, baada ya kukaa kwa takribani muongo mmoja akiwa kifungoni na nje ya nchi ya Kongo. Bemba alifutiwa mashataka hivi karibuni na mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai ICC,…