Category: Kimataifa
Urusi, Ukraine zaendelea kukabiliana vikali Kursk
URUSI imesema vikosi vyake vilifanya mashambulizi makali dhidi ya vikosi vya Ukraine katika mkoa wake wa magharibi wa Kursk, ambako jeshi la Ukraine liliripoti ongezeko la mapigano katika masaa 24 yaliyopita. Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi wa Ukraine, siku…
Marekani yaishutumu Urusi kwa kufadhili vita Sudan
Marekani imeishutumu Urusi kwa kufadhili pande mbili zinazopigana nchini Sudan, hatua inayoonekana kusisitiza madai ya awali ya Washington kwamba Moscow imekuwa ikichochea kuendelea kwa mgogoro huo. Akizungumza katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa jana Jumatatu, Balozi…
Idadi ya watu waliofariki tetemeko la ardhi Tibet yafikia 95
Takriban watu 95 wamethibitishwa kufariki na wengine 130 kujeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga eneo la milima la Tibet Jumanne asubuhi, vyombo vya habari vya Serikali ya China vinasema. Tetemeko la ardhi lililokumba mji mtakatifu wa Tibet wa…
Trump bado anakabiliwa na hukumu ya kumlipa kahaba
RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump, bado anakabiliwa na uwezekano wa kuhukumiwa wiki hii kwenye kesi yake ya kumlipa kahaba, baada ya jaji kukataa kusitisha hukumu wakati Trump akiukatia rufaa uamuzi dhidi yake. Jaji wa Mahakama ya Manhattan, Juan M….
Tembo amuua mtalii aliyekuwa akimwogesha Thailand
Tembo amemuua mwanamke mmoja raia wa Uhispania alipokuwa akimwogesha mnyama huyo katika kituo cha tembo nchini Thailand, wamesema polisi wa eneo hilo. Blanca Ojanguren GarcĂa, 22, alikuwa akiosha tembo katika Kituo cha Kutunzia Tembo cha Koh Yao, siku ya Ijumaa…
Mtalii wa Israel afariki katika Hifadhi ya Ngorongoro
Mtalii wa Israel ambaye utambulisho wake haujabainishwa (mwanamke) amefariki na wengine watano kujeruhiwa katika ajali ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumapili Januari 5, 2025 na Kaimu Meneja Uhusiano wa NCAA,…