Category: Kimataifa
Uhuru Kenyatta ajipanga nyuma ya Raila
NAIROBI, KENYA Joto la kisiasa nchini Kenya linazidi kupanda kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Katika hatua iliyoshitua siasa za nchi hiyo, wiki iliyopita Rais Uhuru Kenyatta alitangaza hadharani kuwa anaunga mkono upande wa upinzani chini ya kinara wao Raila…
Taliban waikamata Afghan taratibu
KABUL, AFGHANISTAN Kitendo cha Marekani kuondoa majeshi yake nchini Afghanistan kumewaachia uhuru wanamgambo wa kundi la kigaidi la Taliban ambao wameanza kuiteka miji muhimu nchini humo. Taarifa kutoka Afghanistan zinaeleza kuwa katika kipindi cha mwezi mmoja tu wanamgambo hao tayari…
Rwanda yawachapa waasi Msumbiji
MAPUTO, Msumbiji Bataliani ya jeshi la Rwanda inaripotiwa kutinga kaskazini mwa Msumbiji na kufanya mashambulizi makubwa dhidi ya kikundi cha kigaidi kinachoua hovyo raia. Ndani ya wiki mbili tu, kikosi hicho cha kwanza kutoka nje ya nchi kupelekwa kupambana na…
CHANJO YA CORONA Samia, Lissu wawatoa hofu Watanzania
*Lissu: Kauli za akina Gwajima zilikuwapo miaka 100 iliyopita *Adai ni upotoshaji wa sayansi ya tiba unaofunikwa na msalaba *NIMR yasema majaribio ya chanjo yalianza kwa wanyama NA WAANDISHI WETU Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua chanjo…
Marekani yaiwekea vikwazo Cuba
WASHINGTON, MAREKANI Serikali ya Marekani imewawekea vikwazo viongozi kadhaa wa Cuba wakidaiwa kukiuka haki za binadamu wakati wa maandamano yaliyofanyika mapema mwezi huu. Kitendo hicho cha utawala wa Rais Joe Biden kimekuja katikati ya shinikizo kutoka kwa raia wa Marekani…
Morocco yamdukua Rais wa Ufaransa
PARIS, UFARANSA Ufaransa inaishutumu Morocco kwa matumizi mabovu ya teknolojia ya kishushushu inayofahamika kama Pegasus – kuwadukua viongozi wake akiwamo Rais Emmanuel Macron na mawaziri 14. Programu hiyo inayotengenezwa nchini Israel kwa ajili ya udukuzi wa simu za watu, imeshitukiwa…