JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Kauli ya ‘Rais Ganja’ yazua gumzo

Mombasa Na Dukule Injeni Hakuna ubishi, urais Kenya ni mbio za farasi wawili licha ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kupitisha majina manne ya wanaosaka kumrithi Rais Uhuru Kenyatta kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti 9, mwaka huu. Naibu…

Manung’uniko kambi ya Ruto Mlima Kenya

Mombasa Na Dukule Injeni Eneo ambalo wagombea wawili wakuu miongoni mwa wanne waliopitishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu nchini Kenya utakaofanyika Agosti 9, mwaka huu wanahitaji zaidi kura ni Mlima Kenya. Wapiga…

Yahya Jammeh: Dikteta wa Gambia aliyepora mabilioni

Na Nizar K Visram Mahakama ya Marekani imeamuru kuwa jengo lenye thamani ya dola milioni 3.5  lililo karibu na Washington lichukuliwe kutoka kwa Yahya Jammeh, aliyekuwa Rais wa Gambia. Uamuzi huu wa Mei 24, mwaka huu ni baada ya kudhihirika…

Ahadi za Ruto, Raila zinatekelezeka?

Mombasa Na Dukule Injeni Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC) imepitisha wagombea wanne miongoni mwa zaidi ya 50 walioomba kuwania urais kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti 9, mwaka huu; ila ni wawili tu ndio wanapewa nafasi kubwa kumrithi…

WAGOMBEA WENZA: Ni uteuzi wa kimkakati

MOMBASA Na Dukule Injeni Hatimaye wagombea urais, hususan wa muungano wa Azimio la Umoja One, Kenya Alliance na Kenya Kwanza wameteua wagombea wenza siku chache tu kabla ya Mei 16, mwaka huu, iliyotengwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka…

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KENYA Ruto apangakufanya aliyoyakataa BBI

MOMBASA Na Dukule Injeni  Masilahi ndicho kitu kinachowaleta wanasiasa pamoja na ndivyo ilivyo hususan kipindi hiki ambapo vyama vinaungana kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, mwaka huu.  Licha ya uwepo wa wagombea huru zaidi ya 40 wanaowania…