JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Odinga hatambui matokeo ya urais Kenya

Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, kupitia wa Azimio la Umoja, Raila Odinga Raila, amekataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022, yaliyotangazwa jana na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati. Jana, Chebukati…

Ruto ndiye rais mteule wa Kenya

Mwenyekiti wa Tume ya Uvaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati ametangaza mgombea wa kiti cha urais William Ruto kuwa mteule wa nafasi ya kiti cha uraiswa kupata kura 7,176,141 sawa na asilimia 50.49. Mgombea huyo ambaye amechuana vikali…

Wakala mkuu wa Odinga azuiwa kuingia Bomas

Wakala mkuu wa mgombea wa urais kwa tiketi ya Azimio la Umoja kwenye kituo cha kuhakiki na kutangaza kura za urais cha Bomas, Saitabao Kanchory jana Jumamosi Agosti 13, 2022 alizuiliwa kuingia kwenye sehemu ya kuhesabia kura (auditorium) na polisi…

Johnson Sakaja ndiye Gavana mpya wa Nairobi

John Sakaja ameibuka mshindi wa wadhfa wa ugavana wa mji mkuu wa Kenya Nairobi. Bwana Sakaja alimshinda mwenzake wa chama cha Jubilee kutoka Muungano wa Azimio Polycarp Igathe baada ya kujipatia kura 699,392. Bwana Igathe alijipatia kura 573, 516. Edwin…

Serikali yajiandaa kukabidhi madaraka Kenya

Serikali inayoondoka madarakani imeanza maandalizi ya kuikabidhi madaraka serikali ijayo,huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC) ikiendelea na mchakato wa kujumlisha kura . Joseph Kinyua,Mkuu wa huduma za umma amesema wakati wa mkutano wa kamati inayosimamia makabidhiano ya…