JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mkutano wa nane wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD

Mkutano wa 8 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa kuhusu Maendeleo ya Japan na Afrika (Tokyo International Conference on African Development – TICAD 8 Summit) umeanza kufanyika leo tarehe 27 Agosti 2022 mjini Tunis, Tunisia. Hii ni mara…

Raila Odinga kuwasilisha kesi ya kupinga uchaguzi wa Ruto leo

JE, Mahakama ya Juu zaidi itaweka historia nyingine inapojitayarisha kusikiliza na kuamua ombi la urais la Kiongozi wa Azimio Raila Odinga? Hilo ndilo swali kuu ambalo wengi wanatafakari huku Mahakama Kuu nchini ikijiandaa kusikiliza hoja kutoka kwa kundi la mawakili…

Kanali Joseph Bakari atunukiwa nishani Jeshi Shirikisho Urusi

WIZARA ya Ulinzi ya Jeshi la Shirikisho Urusi limemtunukia nishani Kwa kuimarisha ushirikiano katika Majeshi KimataifaKanali Joseph Bakari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania nchini Urusi. Kanali Bakari ambaye ni Mkurugenzi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani…